Wazee wenzangu 60 +

Wazee wenzangu 60 +

Sek.45......inategemea mtu na mtu.....mie kuna cha alfu mbili niliamua kukiandaa alinitajia mpaka jina lake jingine kwa utamu na kupiga mayowe.....
Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige kelele

Maana si unajua Wazee wengi tulipitishwa mafunzo ya porini, kwahiyo kunazo mbinu nyingi za kumfanya apige kelele ukiwa naye Kwa bed
 
Af huwezi amini mimi nlikua na jirani yang wa age hiyo ila mimi ni sawa na mtoto wake wa kiume lakini story tulizokua tunapiga utasema ni rika langu tukianza story za mademu duu ni hatar hadi nimehama bado tunaongea sana hata kwe simu.
Kwa hiyo huja_mbandua?
 
Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige kelele

Maana si unajua Wazee wengi tulipitishwa mafunzo ya porini, kwahiyo kunazo mbinu nyingi za kumfanya apige kelele ukiwa naye Kwa bed
Uko sahihi 100%.... na wanawake wengi wanakosa BAHATI HII....AMINI KWAMBA.... 👍 👍 👍
 
Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige kelele

Maana si unajua Wazee wengi tulipitishwa mafunzo ya porini, kwahiyo kunazo mbinu nyingi za kumfanya apige kelele ukiwa naye Kwa bed
Babu nyie wajanja sana ,najifunza kutoka kwenu😅😅
 
Back
Top Bottom