SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Mie mapenzi sio kipaumbeleKabisa Mkuu, hao wanahitaji muwe mna umri unaoendana. Walau kabla hujafika mwisho wa safari unakuwa umeshambadiri mikao kama 8 hivi
Sio sisi Wazee, kabla ya sekunde 45 tayari ushafika mwisho ๐
Mitaani wadada huwapendaga wazeeNizipate wapii???
Kwani nawe umezeeka kama sisi ama umeamua kujikita kuzitafuta hela tu?Mie mapenzi sio kipaumbele
Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige keleleSek.45......inategemea mtu na mtu.....mie kuna cha alfu mbili niliamua kukiandaa alinitajia mpaka jina lake jingine kwa utamu na kupiga mayowe.....
Kwa hiyo huja_mbandua?Af huwezi amini mimi nlikua na jirani yang wa age hiyo ila mimi ni sawa na mtoto wake wa kiume lakini story tulizokua tunapiga utasema ni rika langu tukianza story za mademu duu ni hatar hadi nimehama bado tunaongea sana hata kwe simu.
Uko sahihi 100%.... na wanawake wengi wanakosa BAHATI HII....AMINI KWAMBA.... ๐ ๐ ๐Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige kelele
Maana si unajua Wazee wengi tulipitishwa mafunzo ya porini, kwahiyo kunazo mbinu nyingi za kumfanya apige kelele ukiwa naye Kwa bed
Hahaha...............hatari sanaUko sahihi 100%.... na wanawake wengi wanakosa BAHATI HII....AMINI KWAMBA.... ๐ ๐ ๐
Ya nini?Nakupa pole.
Haya usingle utakunyima faraja yakoMtaani naheshimika sana....ingawa naumia...nakufa na Tai shingoni....
Unaakili mwayaKwani nawe umezeeka kama sisi ama umeamua kujikita kuzitafuta hela tu?
Maana ukiwa Kijana damu si inachemka, kwahiyo unaweza kuacha Kwa muda then ukaendelea
Kwahiyo umeamua kupumzika Kwa muda usiojulikana?Unaakili mwaya
Mimi hela tu nahitaji kwa ndoa atokee mtu anayenielewa basi nitaolewaKwahiyo umeamua kupumzika Kwa muda usiojulikana?
Kama umeolewa ama una mpenzi wa kudumu itakuwa vigumu kuacha, labda iwe huna mtu maalumu
Babu nyie wajanja sana ,najifunza kutoka kwenu๐ ๐Hao ukitumia mbinu za Mwaka 47, lazima apige kelele
Maana si unajua Wazee wengi tulipitishwa mafunzo ya porini, kwahiyo kunazo mbinu nyingi za kumfanya apige kelele ukiwa naye Kwa bed
Kipi unachojua wewe sasa mwenyewe juzi tu ndio umefungua mdomoBabu nyie wajanja sana ,najifunza kutoka kwenu๐ ๐
Sijaelewa, ila pia sijui kituKipi unachojua wewe sasa mwenyewe juzi tu ndio umefungua mdomo
Vyema kuwa na hiyo roho ya Upambanaji, ili akitoke Mr Siku za usoni akikupa kibunda unajua namna ya kukizalisha kupitia biashara na ujasiriamali Kwa ujumlaMimi hela tu nahitaji kwa ndoa atokee mtu anayenielewa basi nitaolewa