Watu wanachanganya kuhusu hizi martial arts, ieleweke tu kuwa kila aina ya martial arts ni nzuri ikiwa tu mhusika atafuata na kuifanya kuwa sehemu ya maisha yake.
Pia ni vema kufahamu tu kuwa kuna ngumi/martial arts za kawaida ambazo raia wote wanaruksa ya kujifunza au kucheza kama self defense na sports mfano wa hizo ni
1.karate
2.taekwondo
3 . kick boxing
4.judo
N.k.
Hizo ni baadhi tu ya sport martial arts kwa wote japo zipo nyingi,
Lakini kuna nyingine ni kwa ajili ya mapigano ya kijeshi (kombat martial arts) mfano ni:-
1 . kombat karate.
2. Judo kombat
3. Krav maga n.k
Hizi ni za kupiga na kuua na haziruhusiwi kufundishwa uraiani bali ni kwa maaskari tu,
Mfano TPDF (hasa commando unit) iko advanced zaidi kwa hapa Tanzania, pia polisi baadhi hupewa mafunzo hayo hasa wale police special forces (red Barret) na si wote,
NB: ujuzi wa ngumi sio tu kujifunza bali pia utayari wa mhusika na utulivu kifkra, unaweza ukafuzu vizuri lakini bila ujasiri na utulivu utapigika.