pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Ruth? Nadhani unamaanisha aliyekuwa 'Prisident' wetu, mwendazake Lucy Kibaki. Ubabe wote wa Kibaki ulikuwa unaisha wakati yupo kando ya Lucy. 🙂 Mkuu, mabalozi walikuwa wanalia lia sana wakisema Kibaki hakuwa na muda nao. Waziri mkuu Raila alikuwa anawachwa 'hanging' hata kwenye vikao ambavyo Kibaki mwenyewe ndio alikuwa anaviitisha. Yaani watu walikuwa wanaiona ikulu kwenye nyewz..Ahaaa haaa haaa
Sijakuelewa unachomaanisha. Inamaana hata Ruth akimjongelea alimuita hivyo??
Mbona ALIKUWA anamkubali SANA KIKWETE MPAKA KUNA mtaa huku unaitwa Mwai kibaki.