Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wakuu, wazee wetu na nyumba zao za udongo na miti walipambana vipi na mdudu mbu? Sidhani kama walilala wakidungwa usiku kucha, lazima walikuwa na namna. Walitumia mbinu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi rudi nayo nyuma kidogo hiyo histori, ungeuliza walioishi enzi za kati za mawe, walioishi mapangoni walisolve namnagani bila kuangamia kwa maradhi!Eti wakuu, wazee wetu na nyumba zao za udongo na miti walipambana vipi na mdudu mbu? Sidhani kama walilala wakidungwa usiku kucha, lazima walikuwa na namna. Walitumia mbinu gani?
Hakukuwa na mbu na hata kama walikuwepo kulikuwa na dawa za asili za kuwafukuza na mpaka leo zingine bado zipo.. Mfano karai la maji lililotiwa mdalasini ni dawa ya kufukuza mbu ndani ya nyumbaEti wakuu, wazee wetu na nyumba zao za udongo na miti walipambana vipi na mdudu mbu? Sidhani kama walilala wakidungwa usiku kucha, lazima walikuwa na namna. Walitumia mbinu gani?
Mizimu haifukuzi mbu loh [emoji3][emoji3]Walitumia mizimu
We bado mtoto Sana haya mambo umeyakuta juu juu tu..😎Mizimu haifukuzi mbu loh [emoji3][emoji3]
Kweli wewe ni wa kupulizaMbu wa siku hizi Ni wakuda kinyama,wanakuja mpk na chupa za chai'thermos'.Wanakunyonya damu na nyingine wanabeba kwny chupa Yao na kusepa zao.
Kijiti noma mkuu 😄😄😄Kweli wewe ni wa kupuliza
Sawa kikongwe[emoji1545][emoji3]We bado mtoto Sana haya mambo umeyakuta juu juu tu..[emoji41]
Kaa kwa kutulia kijana si unaona hata koona tulivyozichapa nazo..? Ile kazi ilifika mpaka kwa mizimu ya itifakiSawa kikongwe[emoji1545][emoji3]
Hahahaha[emoji4]Kaa kwa kutulia kijana si unaona hata koona tulivyozichapa nazo..? Ile kazi ilifika mpaka kwa mizimu ya itifaki
Nipe hiyo mbinu ya asili kufukuza mbu maana kulala na net ni matesoHakukuwa na mbu na hata kama walikuwepo kulikuwa na dawa za asili za kuwafukuza na mpaka leo zingine bado zipo.. Mfano karai la maji lililotiwa mdalasini ni dawa ya kufukuza mbu ndani ya nyumba