Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello JF,
Leo nimejikuta nafikiria uzee na changamoto zake, hasa kwa wazee waliokua nje ya mfumo wa ajira rasmi kama mafundi, housegirls/ boys, wafanyabiashara ndogo ndogo n.k ni sehemu ningependa kuchunguza wanaishije katika uzee especially wale wa Dar es Salaam na Miji mingine mikubwa ambao labda movements zimewafanya watengane na familia/koo zao?
Mimi ningependa kuona kila mzee anapata basic pension sababu hata wao, japokua hawatambuliki rasmi ila huduma zao ziliweza kusaidia formal sector kuwa kama hivyo ilivyo, mfano housegirls kutunza nyumba na familia wamesaidia baba na mama mwenye nyumba kwenda kazini 🤣🤣🤣😊😊😊😊😊😊 , wafanya biashara ndogo ndogo wanasaidia mzunguko wa pesa mtaani n.k, wale wanaofanya kazi kwenye Ajira rasmi,wanategemea sana wale ambao hawako kwenye ajira rasmi/ informal sector,hivyo WOTE wapewe pensheni, sema wale waliofanya kazi na ku contribute wapewe extra for their services.
Mnaonaje?
Leo nimejikuta nafikiria uzee na changamoto zake, hasa kwa wazee waliokua nje ya mfumo wa ajira rasmi kama mafundi, housegirls/ boys, wafanyabiashara ndogo ndogo n.k ni sehemu ningependa kuchunguza wanaishije katika uzee especially wale wa Dar es Salaam na Miji mingine mikubwa ambao labda movements zimewafanya watengane na familia/koo zao?
Mimi ningependa kuona kila mzee anapata basic pension sababu hata wao, japokua hawatambuliki rasmi ila huduma zao ziliweza kusaidia formal sector kuwa kama hivyo ilivyo, mfano housegirls kutunza nyumba na familia wamesaidia baba na mama mwenye nyumba kwenda kazini 🤣🤣🤣😊😊😊😊😊😊 , wafanya biashara ndogo ndogo wanasaidia mzunguko wa pesa mtaani n.k, wale wanaofanya kazi kwenye Ajira rasmi,wanategemea sana wale ambao hawako kwenye ajira rasmi/ informal sector,hivyo WOTE wapewe pensheni, sema wale waliofanya kazi na ku contribute wapewe extra for their services.
Mnaonaje?