Siku moja baada ya Klabu ya Yanga kufanya mkutano na waandishi wa vyombo vya habari, wakieleza malalamiko yao kuhusu uendeshaji wa Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League...
Hawa wazee wawe wanawafundisha namna Masuala ya mpira yanavyoshighulikiwa huko mahakani TFF haishitakiwi mkabaki salama baba yake aka FIFA watawapiga rungu msambae