Wewe ndg yetu umekuja kutufundisha ku beti naomba unisaidie weeek end ijayo point 3 mpaka 4 niweke laki nipata ya kodi
Meridian wanakupa hyoUnatumia kampuni gani nijuavyo mimi meridiani hawana uwezo wa kutoa m10
We BAVICHA unachojua ni kunywa viroba na maandamano tuDuuh Ushamba mzigo..!!!
Mbona mi sielewi hapo.. Kwamba hapo ndo kabet au? Hiyo 3ml kalipa kwa mchezo mmoja au kafanyaje? Naona kuna Goals options, kwamba anataikiwa kubet goli litaingia kipindi gani na dk ya ngapi? Inathamani gani kulinganisha na kubet matokeo ya mechi nzima bila kujali muda wa magoli kuingia?
Nipate wa kunielewesha hapa
BACK TANGANYIKA
We BAVICHA unachojua ni kunywa viroba na maandamano tu
Angeutoa tu sasa aliogopa nini inabidi uwe na moyo mgumuMwana alitaka atoe huu mkeka akaogopa daaah View attachment 402143