Wazeeee wa kubett

Wazeeee wa kubett

ukabu

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
212
Reaction score
68
0b383f7ff2af362ad7458f8a7cbe33d4.jpg
 
Unatumia kampuni gani nijuavyo mimi meridiani hawana uwezo wa kutoa m10
 
Duuh Ushamba mzigo..!!!

Mbona mi sielewi hapo.. Kwamba hapo ndo kabet au? Hiyo 3ml kalipa kwa mchezo mmoja au kafanyaje? Naona kuna Goals options, kwamba anataikiwa kubet goli litaingia kipindi gani na dk ya ngapi? Inathamani gani kulinganisha na kubet matokeo ya mechi nzima bila kujali muda wa magoli kuingia?

Nipate wa kunielewesha hapa

BACK TANGANYIKA
 
Duuh Ushamba mzigo..!!!

Mbona mi sielewi hapo.. Kwamba hapo ndo kabet au? Hiyo 3ml kalipa kwa mchezo mmoja au kafanyaje? Naona kuna Goals options, kwamba anataikiwa kubet goli litaingia kipindi gani na dk ya ngapi? Inathamani gani kulinganisha na kubet matokeo ya mechi nzima bila kujali muda wa magoli kuingia?

Nipate wa kunielewesha hapa

BACK TANGANYIKA
We BAVICHA unachojua ni kunywa viroba na maandamano tu
 
We BAVICHA unachojua ni kunywa viroba na maandamano tu

Aisee..!!

Naifadhi maneno yangu, si kwamba sijui au sina chakuongea... hapana!, nimeamua kukuheshimu, Tambua hilo Inatosha...!!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom