Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Hadi sasa tayari watu wawili zaidi wamejitokeza kumvaa Samwel Sitta kuwania nafasi ya uenyekiti wa kudumu katika Bunge la Katiba hapa mjini Dodoma.
Aliyekuwa Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dr. Teresia Huvisa amechukua fomu kuwania uenyekiti sambamba na aliyekuwa mgombea Urais wa Tanzania mwaka 2010 kupitia NCCR Mageuzi Hashim Rungwe ambaye pia amechukua fomu hizo mchana huu.
Hawa ni wagombea watatu sasa ukimuongeza na Samwel Sitta. Bado fomu zinaendelea kutolewa hadi kesho asubuhi.
Aliyekuwa Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dr. Teresia Huvisa amechukua fomu kuwania uenyekiti sambamba na aliyekuwa mgombea Urais wa Tanzania mwaka 2010 kupitia NCCR Mageuzi Hashim Rungwe ambaye pia amechukua fomu hizo mchana huu.
Hawa ni wagombea watatu sasa ukimuongeza na Samwel Sitta. Bado fomu zinaendelea kutolewa hadi kesho asubuhi.