Bora hata rahisi ccm hawalipi kodi kuanzia chama hadi makada wake niwakwepa kodi wakubwaNi kweli Rais huwa halipi kodi?
Kwani huo ufisadi unafanyika kwa kutumia fedha gani kama sio hizi za kodi.Uwe unatumia akili kufikiri badala yakujifanya wewe ni mzalendo sana kuliko wengine wanaotoa mawazo yao jinsi ambavyo mambo hayajakaa sawa nchini.Basi usiandike kulalamika kodi lalamika ufisadi uliotukuka kwenye nchi yetu
Ni kweli Rais huwa halipi kodi?
Chama kingekua tofauti na ccm hata nikiambiwa nilipe kodi milioni moja kwa mwezi niko tayari hata kukokapa kwajili ya kulipa kodi lakini ccm hata nikiambiwa mia kwamwezi inaniauma sana najue inaenda kuliwa tuKwani huo ufisadi unafanyika kwa kutumia fedha gani kama sio hizi za kodi.Uwe unatumia akili kufikiri badala yakujifanya wewe ni mzalendo sana kuliko wengine wanaotoa mawazo yao jinsi ambavyo mambo hayajakaa sawa nchini.
Nimeshangaa sana eeti anandoa kodi kwenye vitu ambavyo sio lazima bia sio lazima sigara sio lazima mpira sio lazima ongeza kodo kwenye vitu ambavyo nivya lazima hawa jamaa akili zao wanazijua wenyeweUnapunguza kodi ya bia unaongeza bei ya petrol hii ni akili matope ?
waziri anajua akitoka hapo anaagiza creti la bia kuwapa ofa marafiki zake na atawaagizia pakiti za sigara kali ili wajilipue, na anajua kwamba, akiweka kodi hapo atakuwa anajikamua yeye na wapenda kilevi, lakini akiwakamua wakala hoi kwenye petrol anajua pia, wanamabasi yao ya kubeba abiria na hivyo atakula cha juu kutoka kwa mlala hoiNimeshangaa sana eeti anandoa kodi kwenye vitu ambavyo sio lazima bia sio lazima sigara sio lazima mpira sio lazima ongeza kodo kwenye vitu ambavyo nivya lazima hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe