Waziri ananitaka kimapenzi

Pumbavu......! kama huna hoja ya msingi kaa kimya. issue zako za kutaka kugongwa zinatuhusu nn cc wana jf, thats yo private lyf, acha ushamba.
YAAH, HILI NI JIBU ZURI PIA MULUA KWA vIJIDADA vILOLELEWA vIBAYA KAMA UYU
 
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi ushauri plzzzzzzregards tracy wa njiro
we dada wa njiro. K*****a ni mali yako personally wether umpe bure au in exchange kwa gari ni hiari yako, lakini kumbuka pia usiogope sana kwani mahospitalini ma-ar ya kumwaga don worry
 
...hapa kuna tatizo la upeo. Waziri wa Tz ni mTZ kama mimi na wewe, ambaye aghalabu aligombea ubunge (jimboni au viti maalum), akapata, akaingia bungeni, akateuliwa na rais kushika dhamana ya wizara fulani. So, ktk mahusiano, waziri mtongozaji ni sawa kabisa na kidume chochote mtaani kwako ...tofauti POSHO tu. Kama upo 18+ task yako ni NDIO/HAPANA. Kila jibu lina faida/hasara.
 
waziri kamalamo? au waziri makoko wale ma mate wangu wa shule ya msinngi?
 
Au keshakumega, kwa hiyo ukaona labda utapata maujiko hapa?
 
Mambo ya posho hayo!!! Amekuambia atakuletea gari gani Mama yetu????
 
Uongo m2pu. Kama anakutaka cumkubalie 2 akupe ghorofa na magari!
 
Tar 14 aliachwa, juz juz tena nilickia anawachanganya watu kwa uzur na hiv karibun kashapendwa na waziri. Yangu macho
 
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro

UMALAYA utaliangamiza hili taifa ...Na wewe kama sio uhuni nini unahangaika na waume za watu...!!! mautumbo ya bata tupu unauliza hapa...
 
See the day coming, Jesus will bring hunger, not lack of food or thirst for water, but a famine of hearing the words of God, Hours comes God will remove word that men shall be sought at all costs and longed to hear but it will be too late. time is now, beloved, come to Jesus he is the only refuge. Let the pleasures of this world are the paths but the word of God will stand forever.
 
Waziri sonyo?

Yaani polisi umeniwahi, nilikuwa na swali kama hilo yaani yule wa secta ya muziki?

maisha yanavyokimbiza uswazi sioni demu mwenye guts za kumtolea nje waziri...lol
 
Una bahati wewe eeh mpaka nakuonea wivu. Hilo gari lako ni aina gani vile?! Jamani waziri wa nini niambie basi, mbona umependelewa bibie. Kesho akikununulia nyumba usikose kutu - update mbarikiwa tracy. Kwa uelewa wako faraja hii inatosha kwa leo.
 
ha ha ha ha ha ha ah ha ha sasa ushauri gani unataka??
 
Kama anakutaka mpe wasubiri nini sasa au nataka ukamwambie na mkewe Kawa Waziri Sonyo achana nay njaa tupu kama waziri waziri mpe wa ukweee mpe akupe.
 
Una bahati kama Nazjaz manake hata yeye kuna waziri aliwahi kumtaka kimapenzi! Tehe!
 
Ngekuwa mtaani kwetu tungesema huyu dada mhaya nini mbona ana majisifu!
Yaani umehongwa mpaka gari alafu ukakubari leo unatuambia anakutaka!
Tuambie umekanyagwa mara ngapi na uyo waziri mpaka akakupa gari kukushukuru kwa service rendered!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…