GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Dr mmoja wa OUT alisema utafiti wake umebaini wanawake wanaovaa suruali wako flat makalioni na wamejaa vifua na vitambi"Royal Tour ya Rais Samia imesababisha Hoteli zote Kubwa Dar es Salaam, Kilimayna Arusha kujaa kwa miezi Mitatu ijayo" Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji.
Halafu GENTAMYCINE nawaulizeni nyie Viongozi wa Serikali hivi mnavyokuwa mnatudanganya kiasi hiki huwa mnadhani kuwa labda katika hizo (hizi) Sekta / Taasisi hatuna ama Marafiki au Ndugu ambao hutueleza halisi on the ground kiasi kwamba kila mara mtuone Watanzania wote ni Mazuzu na Wanastahili tu Kudanganywa?
Shame on your Honourable Minister!!!!
Kusifia sifia na uongo ndio sifa kuu za ccm, zipo hadi kwenye ilani. Kwahiyo anatekeleza ilani ya chama.Mm najiuliza Sana mbona hayamambo ya kusifia hata visivyosifika hatukuyaona enz za mwiny mkapa na jk
Toka awamu ya tano iingie madarakan tukaanza kusikia kusifia
Mfano unafuta ajira za walimu halafu unatoa kibal Cha kuajir walimu 1000 wajinga fulan wanakuja kusifia wakat kafuta ajira 20000
Na mashaka na wasom wa Tanzani
Prof kabudi mbele ya halaiki alimwita Rais MUNGU dah so sad wasomi wa nchi hii
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mr Twaha Bigirimana naona umekuja kivingine"Royal Tour ya Rais Samia imesababisha Hoteli zote Kubwa Dar es Salaam, Kilimayna Arusha kujaa kwa miezi Mitatu ijayo" Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji.
Halafu GENTAMYCINE nawaulizeni nyie Viongozi wa Serikali hivi mnavyokuwa mnatudanganya kiasi hiki huwa mnadhani kuwa labda katika hizo (hizi) Sekta / Taasisi hatuna ama Marafiki au Ndugu ambao hutueleza halisi on the ground kiasi kwamba kila mara mtuone Watanzania wote ni Mazuzu na Wanastahili tu Kudanganywa?
Shame on your Honourable Minister!!!!