kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Aje tena muanze kumuombea kifo na kumtukana,tutaenda hivi hivi tuHii nchi inahitaji Magufuli mwingine Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje tena muanze kumuombea kifo na kumtukana,tutaenda hivi hivi tuHii nchi inahitaji Magufuli mwingine Tena.
Raia warudi mikoani kwaoHii ni hakika. Tunetoka kwenye mvua kubwa, mifereji ya Jiji la Dar na vijito bado vinatirisha maji. Wananchi wachota hayo maji kwa matumizi Yao ya kila siku.
Bila haya maji, Jiji la Dar liko kwenye hatari ya kindupindu.
Aweso changamka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Waziri wa afya pia changamka kabla hujaanza kuhudumia kipindupindu.
Ni hayo tu.
Pia soma
Ila JPM kama angeacha udikteta uchwara na uonevu usio na tija, angeweza kuleta impact kubwa sana kwa maendeleo ya nchi. Tatizo naye chuki, roho mbaya, ubinafsi na uonevu vilizidi kipimo. Hata pasipokuwa na ulazima wa kufayanya hayo bado aliyafanya tu, Mungu amsamehe sana huko aliko.Hii nchi inahitaji Magufuli mwingine Tena.
Hakuna cha udikiteta, ulikuwa unaudefine wewe tu.Ila JPM kama angeacha udikteta uchwara na uonevu usio na tija, angeweza kuleta impact kubwa sana kwa maendeleo ya nchi. Tatizo naye chuki, roho mbaya, ubinafsi na uonevu vilizidi kipimo. Hata pasipokuwa na ulazima wa kufayanya hayo bado aliyafanya tu, Mungu amsamehe sana huko aliko.
Sawa mkuu, ila na wewe unadefine hicho unachodefine wewe.Hakuna cha udikiteta, ulikuwa unaudefine wewe tu.
Ni vision vilioHii ni hakika. Tunetoka kwenye mvua kubwa, mifereji ya Jiji la Dar na vijito bado vinatirisha maji. Wananchi wachota hayo maji kwa matumizi Yao ya kila siku...