KERO Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu

KERO Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hii ni hakika. Tunetoka kwenye mvua kubwa, mifereji ya Jiji la Dar na vijito bado vinatirisha maji. Wananchi wachota hayo maji kwa matumizi Yao ya kila siku.

Bila haya maji, Jiji la Dar liko kwenye hatari ya kindupindu.

Aweso changamka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.

Waziri wa afya pia changamka kabla hujaanza kuhudumia kipindupindu.

Ni hayo tu.

Pia soma
Raia warudi mikoani kwao
 
Tangia CEO Ruhemeja ahamishwe Dawasa imefeli kabisa.Dawasa lilikuwa tumain la watanzania lakini sasa wrote wamekuwa wa ovyo.Samia kwanini Kila idara imepalalyse
 
Hii nchi inahitaji Magufuli mwingine Tena.
Ila JPM kama angeacha udikteta uchwara na uonevu usio na tija, angeweza kuleta impact kubwa sana kwa maendeleo ya nchi. Tatizo naye chuki, roho mbaya, ubinafsi na uonevu vilizidi kipimo. Hata pasipokuwa na ulazima wa kufayanya hayo bado aliyafanya tu, Mungu amsamehe sana huko aliko.
 
Ila JPM kama angeacha udikteta uchwara na uonevu usio na tija, angeweza kuleta impact kubwa sana kwa maendeleo ya nchi. Tatizo naye chuki, roho mbaya, ubinafsi na uonevu vilizidi kipimo. Hata pasipokuwa na ulazima wa kufayanya hayo bado aliyafanya tu, Mungu amsamehe sana huko aliko.
Hakuna cha udikiteta, ulikuwa unaudefine wewe tu.
 
Back
Top Bottom