Ila JPM kama angeacha udikteta uchwara na uonevu usio na tija, angeweza kuleta impact kubwa sana kwa maendeleo ya nchi. Tatizo naye chuki, roho mbaya, ubinafsi na uonevu vilizidi kipimo. Hata pasipokuwa na ulazima wa kufayanya hayo bado aliyafanya tu, Mungu amsamehe sana huko aliko.