KERO Waziri Aweso tusaidie wakazi wa Kawawa road na vitongoji vyake- Wilaya ya Moshi

KERO Waziri Aweso tusaidie wakazi wa Kawawa road na vitongoji vyake- Wilaya ya Moshi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

7son

Senior Member
Joined
May 24, 2012
Posts
174
Reaction score
36
Waziri, wakazi wa Kawawa Road na vitongoji vyake tunapitia changamoto kubwa sana ya kupata maji.

Pamoja na kuwa tupo chini ya mlima Kilimanjaro ambapo kuna vyanzo vingi vya maji lakini suala la upatikanaji maji limekuwa changamoto kubwa sana kwani maji yanatoka mara moja kwa wiki tena kwa muda mchache sana.

Tunaomba utusaidie mhe Waziri.
 
Back
Top Bottom