Waziri Bashe akutana na wawekezaji wa kiwanda cha mbolea

Waziri Bashe akutana na wawekezaji wa kiwanda cha mbolea

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amekutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji wa kampuni ya Pioneers Chemical Factory Co. Kutoka Nchini Saudi Arabia, wenye lengo la kuwekeza Katika uzalishaji na usambazaji wa mbolea Nchini.

Kikao hicho kimefanyika katika ofisi ya Wizara ya Kilimo jijini Dodoma leo Tarehe 2 Februari, 2022

Aidha, ujumbe wa wawekezaji hao kutoka Saudia Arabia umeongozwa na Balozi wa Tanzania Nchini humo Mhe. Balozi Ali Jabir Mwadini.

IMG-20220202-WA0113.jpg

IMG-20220202-WA0115.jpg
 
Back
Top Bottom