Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

Huyu waziri anakwama sana hicho kigezo alichotumia sio sahihi,maana Tanzania bado ni nchi masikini sana tukubali huu ukweli na Kuna watu wanauhitaji na huo msaada
 
Kwa mambo mengi ya hovyo yanayoendelea nchini mwetu,si kawaida na haikubaliki Marekani kutupa msaada wa chakula.Kwanza wameweka nini humo,hasa ukizingatia kuwa Marekani ni taifa la kishetani?
 

Attachments

  • VID-20240319-WA0001.mp4
    12.4 MB
Inaonyesha wazi hakuwa ameshirikishwa katika mpango huo tangu hatua za awali.
Ni vizuri, amekuwa na msimamo wa kiume. Mwanaume halii bali utautambua uso wake.
Kwa nafasi yake ni sawa kabisa alichokifanya.
Huyo msanii tu!! Kwani chombo kinachopima ubora wa vitu si kipo? Na kilishirikishwa, ni siasa tu, na kwa taarifa yako, hutamsikia tena, na huo mchele utaliwa.
 
Watanzania wanakataa msaada wa msosi kwa hofu huku dawa kutoka huko wakizifakamia, kuna mapombe ya vichupa wanakunywa na wala hawana hofu na pombe hizo
Mchele wanapewa watoto, usishange kama wilaya nzima au kituo cha wazee kingekuwa na shida hiyo wasingepewa huo msaada na pombe wanakunywa watu wazima sio watoto, dawa kupita huko haitokolea.
 
Kwa ufahamu tu, hiyo NGO imesajliwa kuhusika na mambo haya ya vyakula? Je, hiyo NGO ina hizo nguvu za kuweza ku-deal na nchi ya Marekani kw "niaba ya nchi, bila wizara husika kuwa na taarifa"? Je, hivyo virutubisho vlivowekwa ktk mchele vinafahamika? ni vp? Vnaeleweka? Nafkiri kulkuwa na wkt, kama sjasahau, nlisikia shehena ya mchele ilimwagwa baharini kw sbb fulani, je palkuwa hapana mahitaji? Walengwa ni shle 300, je baada ya hizo kpata msaada, hitaji ltakwisha? Haya mahitaji ya misaada, je kila mtu anaruhsiwa ku-deal na serikal yyte kuomba misaada ya chakula? Nafkiri, ktk nyakati hz za tech za kidigitali, maamuz kuh vyakula ni ya kuchukliwa kw tahdhari - watu wasijejikuta "kizazi kinatowekeshwa" ...nk
 
Mchele wanapewa watoto, usishange kama wilaya nzima au kituo cha wazee kingekuwa na shida hiyo wasingepewa huo msaada na pombe wanakunywa watu wazima sio watoto, dawa kupita huko haitokolea.
kama vipi huo mchele wapewe watu wazima wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…