sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.