INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Inchi haiwezi kuendelea kwa upendeleo.
Walitakiwa vijana wenye sifa na si wengine bali wale wanaojishuhulisha na kilimo kwa ushahidi. Hasa wale vijana wa vijijini
Au wale wa SUA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inchi haiwezi kuendelea kwa upendeleo.
Walitakiwa vijana wenye sifa na si wengine bali wale wanaojishuhulisha na kilimo kwa ushahidi. Hasa wale vijana wa vijijini
ha ha ha..umeandika kwa hisia mkuuHili jambo linaupendeleo ndani yake,mawazo yangu ni kua kuna vijana wa wenyewe walikua walishaandaliwa tayari hizo applications nyingine ilikua ni Zuga tu.
Sema hata hivyo hili program halitaleta faida yoyote
Hahahaaa.... Nitakujulisha mkuu.Tupeane connection ndugu yangu.
Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.
Usishangae kuona % kubwa ni vijana watanashati wa mjini hawana hata tuta la mita moja la mchicha
Hilo siyo tatizo, shida kubwa hawana nia ya dhati kufanya kilimo wataishia kufuja pesa na sababu ni CCM wenzao hiyo scandal itakufa kimya kimya. Kichaa atakayekuja baada huyu Mama naomba awe na roho mbaya kuliko Magu ilituwakute hawa watu kwenye viroba. Ifike mahali mafisadi watolewe uhai tu.Usishangae kuona % kubwa ni vijana watanashati wa mjini hawana hata tuta la mita moja la mchicha
Ni kweli,hii issue inahitaji maelezo ya kina.Bashe hii nchi ni yetu sote,sio ya CCM tu,tiririka kijana.Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.
ila wahuni wametengeneza hela nyingi man!! Afdb wametoa dola 200 milion kama sijaHili jambo linaupendeleo ndani yake,mawazo yangu ni kua kuna vijana wa wenyewe walikua walishaandaliwa tayari hizo applications nyingine ilikua ni Zuga tu.
Sema hata hivyo hili program halitaleta faida yoyote
Mkuu 'sifileo', nimekusoma vyema.Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.
Mkuu 'Stroke', mimi hupenda sana kukusikiliza/kukusoma humu, hata kama maandishi yako ni mafupi mara nyingi, lakini yanaeleza pasi shaka unaposimamia kuhusu nchi yetu.Huyu baada ya kuliingiza Taifa kwenye crisis ya mfumuko wa bei ya chakula hakupaswa kuendelea kuwa katika nafasi hiyo.
Kwakua hatuna utaratibu wa kuwajibika au kuwajibishana ataendelea kutuumiza tu kwa maboko yake anayoyatoa.
Kwanini unafikiri "napiga kelele"? ??Mkuu 'Stroke', mimi hupenda sana kukusikiliza/kukusoma humu, hata kama maandishi yako ni mafupi mara nyingi, lakini yanaeleza pasi shaka unaposimamia kuhusu nchi yetu.
Sasa ngoja nikustue, kama ulikuwa bado hujastuka kuhusu nchi yetu inakoelekezwa na hii CCM ya Samia.
Ni hivi: fumba na fungua macho, utakuta mabadiliko makubwa sana yametokea chini ya kazi za Samia anazofanya sasa hivi kimya kimya.
Mfano mmoja ni huu wa kugawa ardhi ya waTanzania kwa watu maalum wanaojulikana kwa wao viongozi. Lifikirie hili kwa makini uataona tunakoelekea tukiswagwa tu kama ng'ombe.
Hakuna anayehangaika kueleza lolote, na hakuna wa kuuliza chochote! Ni mipango inayobuniwa tu harakaharaka na wenye maslahi yao, na kuitekeleza bila ya mjadala.
Samia anaididimiza Tanzania kimya kimya.
Inaumiza KICHWA ww,Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.
Sawa.Kwanini unafikiri "napiga kelele"? ??
Naelewa sana tu mkuu wangu.
Niliwaambia vijana wanaoenda kwenye hiyo cycle ni uvccm TU! Kama wewe ni kijana na siyo ccm hutoboiiiii!Sina mengi ya kuuliza ninataka kujua utaratibu ulio TUMIKA kuwapat vijana 812 ambao wanatarijiwa kwenda kupewa mafunzo ya kilimo? Ukiweza type data ni wangapi. Waliomba na wangapi wamechukuliwa n wangapi wameachwa na. Sababu za kuwaacha walio achwa ni zipi?
Msingi wa swali langu ni huu, Taifa Ili ni letu site sio tu vijana waliopo ndani ya chama cha mapinduzi ndo wenye Taifa la hasha, kutoka a na ilo tunaitaji kujua kinyume chake madudu yanayofanywa na serikali kutoa 10% ya vijana kwa vijana wa ccm tu SI jambo jema tuna wasi wasi wewe pia kupitia wizara yako unaweza rudia madudu hayo.
Mimi sikuomba mafunzo hayo ila niliwasaidia vijana wengi zaidi ya kumi walioko kijijini kwetu kuwaombea na tulipo kuwa tukituma maombi unaanbiwa maombi YAMEIFDHIWA na hakuna kilichoendelea zaidi ya hapo Leo tunapata taarifa ya kuwa vijana 812 watashiriki mafunzo vijana hao ni wapi?je tukija kwenye kanzu data ya wizara hao vijana waliomba kweli?
Nawasih Takukuru kachunguzeni ilo nalo!mtakuka kunishukuru hapo yamewekwa matoto ya vigogo na mavijana yaliyofeli shule ila yanajificha kwenye kichaka cha UVCCM Ili yasijulikane yakuuwa ni mataila.
Ukitaka kujua kama ni mataila angalia yanapewa mikopo 10% ya vijana na hayarudishi yanalia Bata.