Habari ndugu wanajamii.Kuna benki inajiita ya kilimo tanzania hawa jamaa sijuhi wanakopesha wakulima wa nchiiii gani??Au ipo kisiasa na kimtego kuadaa wananchii.
Ukienda pale watakwambia uende kwenye benki za biashara kwamba wanamakubaliano nao kukopesha wakulima na Wafugaji.Lakini kule benki hakuna maelekezo yoyote wanataka uwe na biashara na ulejeshe kila mwezi ishu za kilimo na Mifugo hazijulikani popote labda wakulima wakubwa tu ndo inawezekana wanapata Lakini Sisi wadogo hatuna chetu sasa tutakuaje bila kuwezeshwa kama mnathamini wazalishaji wakubwa?
Naamini kama serikali imeweka fedha kukopesha wakulima watakuwa wanakopeshana wenyewe kwa kujuana sasa wanamkomoa Nani ikiwa tunaendelea kuwa masikini na kukosa ajira?
Utawala wao utakuja kupata mshutuko iwapo wataendelea kuzalisha umasikini na kufaidisha wachache?
Waandishi wa habari na nyie siku hizi mnapenda habari nyepesi na za udaku ingieni mtaani mfanye utafiti kujua TADB wamekopesha wakulima WANGAPI?
Au Halimashauri wamekopesha vijana,walemavu au wamama WANGAPI?
Ukiwaomba taarifa watakupa hewa hivyo tafuteni ukweli wanakopeshana wenyewe kwa wenyewe HAKUNA kitu HAPO ...
Ukienda pale watakwambia uende kwenye benki za biashara kwamba wanamakubaliano nao kukopesha wakulima na Wafugaji.Lakini kule benki hakuna maelekezo yoyote wanataka uwe na biashara na ulejeshe kila mwezi ishu za kilimo na Mifugo hazijulikani popote labda wakulima wakubwa tu ndo inawezekana wanapata Lakini Sisi wadogo hatuna chetu sasa tutakuaje bila kuwezeshwa kama mnathamini wazalishaji wakubwa?
Naamini kama serikali imeweka fedha kukopesha wakulima watakuwa wanakopeshana wenyewe kwa kujuana sasa wanamkomoa Nani ikiwa tunaendelea kuwa masikini na kukosa ajira?
Utawala wao utakuja kupata mshutuko iwapo wataendelea kuzalisha umasikini na kufaidisha wachache?
Waandishi wa habari na nyie siku hizi mnapenda habari nyepesi na za udaku ingieni mtaani mfanye utafiti kujua TADB wamekopesha wakulima WANGAPI?
Au Halimashauri wamekopesha vijana,walemavu au wamama WANGAPI?
Ukiwaomba taarifa watakupa hewa hivyo tafuteni ukweli wanakopeshana wenyewe kwa wenyewe HAKUNA kitu HAPO ...