Waziri Bashe uko wapi mchele mlioagiza toka nje ya nchi? Bei ya mchele imeshuka? Nani awajibike?

Waziri Bashe uko wapi mchele mlioagiza toka nje ya nchi? Bei ya mchele imeshuka? Nani awajibike?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Hivi karibuni Serikali iliahidi kuingiza mchele toka nje ya nchi ili kupunguza makali ya bei ya mchele na nafaka zingine!

Matarajio ya watu wengi ilikuwa ni bei ya mchele kushuka na kuwasaidia watu kuweza kumuda kupata mlo

Sasa imepita miezi zaidi ya miwili lakini bado bei iko pale pale lakini cha kushangaza tuliahidiwa bei itashuka zaidi!

Maswali ya kujiuliza ule mchele ulioingizwa umepelekwa wapi? Au bado uko bandarini?
 
Hivi unajua kuwa serikali imetoa vibali na sio kwamba imeingiza mchele???

Government are there for maintaining/equalize the market but not control a market ,incase of inflation and depression they put hands to requlate a market na hapa walisema watatoa vibali ili kupunguza au kuleta unafuu wa bidhaa .

Mind you bei inaweza kushuka sio muda huu na hata baadae ndiyo ikashuka coz hii free market pia wafanyabishara ni washenzi.


Usilazimishe bure
 
Hivi unajua kuwa serikali imetoa vibali na sio kwamba imeingiza mchele???

Government are there for maintaining/equalize the market but not control a market ,incase of inflation and depression they put hands to requlate a market na hapa walisema watatoa vibali ili kupunguza au kuleta unafuu wa bidhaa .

Mind you bei inaweza kushuka sio muda huu na hata baadae ndiyo ikashuka coz hii free market pia wafanyabishara ni washenzi.


Usilazimishe bure
Kwa hiyo unataka kusema hadi sasa hakuna mchele ulio ingia sokoni toka wametoa vibali? 😂😂😂😂😂
 
Walihaid mwisho wa mwez wa 3 mchele aka ubwabwa utakuja wa kutosha
 
Hii kitu wakina Tate Mkuu waliipongeza sana, wakajua mchele utakuja mwingi, wenye quality, tena kwa bei ya chini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu vitu haviendi hivyo. Ukitaka mchele kwa bei yako, ingia shambani ulime
 
Kwa hiyo unataka kusema hadi sasa hakuna mchele ulio ingia sokoni toka wametoa vibali? 😂😂😂😂😂
Mchele upo mwingi ila bado stock ya mchele wa mwanzo haujaisha.

Mfano zenji polo/kiroba kilo 50 kilikiwa 120000-130000 ila imeshuka mpk 100000.
Uliingizwa before SMT kutoa kaul

Cement ipo pale pale licha ya kuingia nying yaan kiufupi soko unpredictable.
 
Kazi mnayo!!! Msikilize mkulima anae tumia shamba na sio simu kulimia.
Screenshot_20230316-005649_Facebook.jpg
 
Uzuri wa watanzania ndio hivyo, washazoea shida. Wasomali wameficha mchele, wanauridisha, wanapiga pesa zao, jamaa wapo tu.

  • SA wako road, kisa mgao wa umeme, imbalance kwenye kuila keki ya taifa n.k,
  • Kenya wanapambia ugumu wa maisha, utapeli kwenye uchaguzi
  • Nigeria, wizi wa kura
  • Tunisia, hayo hayo

Ngoja tuendelee kuandamana kwenye mitandao huku tukitegemea wabwabwajaji kuhamasisha wadanganyika kuwa makondoo huku wao wakiwa na uraia pacha, wao na familia zao; wanapokuwa wanadai yao husikii wanachofanya, wanakwambia tu, MAMA ANASIKIA KWELI, KANILIPA stahiki zangu, wengine wanaenda kuridhiana, wakitoka huko, wanakwambia tuko pazuri....WAMESHAPATA walichopigania
 
Hii kitu wakina Tate Mkuu waliipongeza sana, wakajua mchele utakuja mwingi, wenye quality, tena kwa bei ya chini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hussein Bashe akiendelea kuwa Waziri wa Kilimo, basi itafikia wakati tutanunua mchele kilo kwa 7000! Maana mchele wote anaupeleka kwenye nchi ya asili yake, kupitia nchi jirani kwa kisingizio cha soko huria, na pia kuifungua nchi!!

Sasa kama kuna soko huria, waruhusu basi mchele wa kutoka nje uingie nchini, ili na sisi wachumi tuupate kwa bei ya kawaida. Kiukweli sifurahii kabisa kununua kilo ya mchele kwa 3500!! Huku ni kukomoana.
 
Hivi unajua kuwa serikali imetoa vibali na sio kwamba imeingiza mchele???

Government are there for maintaining/equalize the market but not control a market ,incase of inflation and depression they put hands to requlate a market na hapa walisema watatoa vibali ili kupunguza au kuleta unafuu wa bidhaa .

Mind you bei inaweza kushuka sio muda huu na hata baadae ndiyo ikashuka coz hii free market pia wafanyabishara ni washenzi.


Usilazimishe bure
Hapo kwenye ushenzi wa Wafanyabiashara hapo ndipo serikali inatakiwa ionekane!
 
Hussein Bashe akiendelea kuwa Waziri wa Kilimo, basi itafikia wakati tutanunua mchele kilo kwa 7000! Maana mchele wote anaupeleka kwenye nchi ya asili yake, kupitia nchi jirani kwa kisingizio cha soko huria, na pia kuifungua nchi!!

Sasa kama kuna soko huria, waruhusu basi mchele wa kutoka nje uingie nchini, ili na sisi wachumi tuupate kwa bei ya kawaida. Kiukweli sifurahii kabisa kununua kilo ya mchele kwa 3500!! Huku ni kukomoana.
Usimsingizie Bashe🫣🫣
 
Back
Top Bottom