Waziri Bashungwa aitaka Idara ya Uhamiaji kuondoa urasimu wa kuwazungusha Wananchi kupata Vitambulisho vya Taifa (NIDA)

Waziri Bashungwa aitaka Idara ya Uhamiaji kuondoa urasimu wa kuwazungusha Wananchi kupata Vitambulisho vya Taifa (NIDA)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuboresha ushirikiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kuondoa urasimu wa kuwazungusha Wananchi wakati wanapokuwa katika mchakato wa kutafuta Kitambulisho cha Taifa.

Bashungwa ameelekeza hayo leo tarehe 23 Januari 2025 wakati alipofanya ziara Makao Makuu ya dara ya Uhamiaji, Dodoma ambapo ameitaka Idara hiyo kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa Wananchi.

Soma: NIDA kusitisha matumizi ya namba kwa wasiofuata vitambulisho vyao

Bashungwa amemtaka Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala kuhakikisha kila Ofisi ya Wilaya ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inakuwa na Afisa wa Uhamiaji ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa Wananchi.
WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.51_1df938b0.jpg

WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.05_36ea3849.jpg
“Nitakapokuwa naenda kwenye Wilaya, nikifika ofisi za NIDA nikute kuna Afisa wa NIDA lakini awepo Afisa wa Uhamiaji ambao wanashirikiana kuwahudumia Wanzania ili kuepuka upumbufu kwa Wananchi na Malalamiko yasiyokuwa na tija” amesisitiza Bashungwa

Aidha, Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuendelea na Operesheni, misako na doria za kukamata wahamiaji haramu na kuhakikisha wageni wote wanaoingia ndani ya nchi, wanafuata tararibu na sheria za kuingia nchini.

Kadhalika, Bashungwa ametoa onyo kwa baadhi ya Maafisa wa Idara ya Uhamiaji ambao sio waaminifu, wanaowaonea Wananchi wakati wa Operesheni na misako inapofanyika

Awali, Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala ameeleza kuwa Idara ya Uhamiaji inaendelea na misako, doria na kaguzi mbalimbali kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa.
WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.57_00bdcb03.jpg

WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.59_6417ae7c.jpg

WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.01_5c4154d6.jpg
“Katika mwaka 2024 tumefanya Oparesheni, mikasako na doria nchi nzima, jumla ya Wahamiaji wa makosa mbalimbali 14,368 walikamatwa na kuchukuliwa hatua ” ameeleza CGI, Dkt. Makakala

Nimeelekeza Idara ya Uhamiaji na NIDA kushirikiana ngazi za wilaya maafisa wote wa NIDA na Uhamiaji wawepo ofisi moja wakati wanahudumia wananchi ili kuondoa usumbufu wa wananchi kutoka ofisi moja kwenda nyingine na wakati taasisi zote 2 zipo ndani ya Wizara moja na wilaya moja. Nitakapokuwa napita huko kwenye wilaya tutasimamia ipasavyo utekelezaji wa hili jambo kupitia mrejesho wa wananchi.

Soma:
~
Daniel Sillo: Uhamiaji ongezeni kasi ili watu wapate Vitambulisho vya NIDA
~ Huduma mbovu watumishi kupitia Uhamiaji na NIDA chanzo cha ucheleweshaji wa huduma Kitambulisho cha Taifa
 
BASHUNGWA AITAKA UHAMIAJI KUTOWAZUNGUSHA WANANCHI, MCHAKATO WA KUPATA KITAMBULISHO CHA TAIFA.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuboresha ushirikiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kuondoa urasimu wa kuwazungusha Wananchi wakati wanapokuwa katika mchakato wa kutafuta Kitambulisho cha Taifa.

Bashungwa ameelekeza hayo leo tarehe 23 Januari 2025 wakati alipofanya ziara Makao Makuu ya dara ya Uhamiaji, Dodoma ambapo ameitaka Idara hiyo kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa Wananchi.

Bashungwa amemtaka Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala kuhakikisha kila Ofisi ya Wilaya ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inakuwa na Afisa wa Uhamiaji ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa Wananchi.

“Nitakapokuwa naenda kwenye Wilaya, nikifika ofisi za NIDA nikute kuna Afisa wa NIDA lakini awepo Afisa wa Uhamiaji ambao wanashirikiana kuwahudumia Wanzania ili kuepuka upumbufu kwa Wananchi na Malalamiko yasiyokuwa na tija” amesisitiza Bashungwa

Aidha, Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuendelea na Operesheni, misako na doria za kukamata wahamiaji haramu na kuhakikisha wageni wote wanaoingia ndani ya nchi, wanafuata tararibu na sheria za kuingia nchini.

Kadhalika, Bashungwa ametoa onyo kwa baadhi ya Maafisa wa Idara ya Uhamiaji ambao sio waaminifu, wanaowaonea Wananchi wakati wa Operesheni na misako inapofanyika

Awali, Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala ameeleza kuwa Idara ya Uhamiaji inaendelea na misako, doria na kaguzi mbalimbali kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa.
“Katika mwaka 2024 tumefanya Oparesheni, mikasako na doria nchi nzima, jumla ya Wahamiaji wa makosa mbalimbali 14,368 walikamatwa na kuchukuliwa hatua ” ameeleza CGI, Dkt. Makakala

Nimeelekeza Idara ya Uhamiaji na NIDA kushirikiana ngazi za wilaya maafisa wote wa NIDA na Uhamiaji wawepo ofisi moja wakati wanahudumia wananchi ili kuondoa usumbufu wa wananchi kutoka ofisi moja kwenda nyingine na wakati taasisi zote 2 zipo ndani ya Wizara moja na wilaya moja. Nitakapokuwa napita huko kwenye wilaya tutasimamia ipasavyo utekelezaji wa hili jambo kupitia mrejesho wa wananchi.
 

Attachments

  • IMG-20250123-WA1394.jpg
    IMG-20250123-WA1394.jpg
    364.3 KB · Views: 4
  • IMG-20250123-WA1392.jpg
    IMG-20250123-WA1392.jpg
    773.8 KB · Views: 4
  • IMG-20250123-WA1398.jpg
    IMG-20250123-WA1398.jpg
    382.7 KB · Views: 3
  • IMG-20250123-WA1401.jpg
    IMG-20250123-WA1401.jpg
    274.4 KB · Views: 3
  • aaac177222f24dab86263f809ca782fe.jpg
    aaac177222f24dab86263f809ca782fe.jpg
    612.5 KB · Views: 4
  • IMG-20250123-WA1403.jpg
    IMG-20250123-WA1403.jpg
    407.1 KB · Views: 4
  • IMG-20250123-WA1405.jpg
    IMG-20250123-WA1405.jpg
    469 KB · Views: 4
  • IMG-20250123-WA1407.jpg
    IMG-20250123-WA1407.jpg
    876.8 KB · Views: 4

BASHUNGWA AITAKA UHAMIAJI KUTOWAZUNGUSHA WANANCHI, MCHAKATO WA KUPATA KITAMBULISHO CHA TAIFA.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuboresha ushirikiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kuondoa urasimu wa kuwazungusha Wananchi wakati wanapokuwa katika mchakato wa kutafuta Kitambulisho cha Taifa.

Bashungwa ameelekeza hayo leo tarehe 23 Januari 2025 wakati alipofanya ziara Makao Makuu ya dara ya Uhamiaji, Dodoma ambapo ameitaka Idara hiyo kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa Wananchi.

Bashungwa amemtaka Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala kuhakikisha kila Ofisi ya Wilaya ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inakuwa na Afisa wa Uhamiaji ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa Wananchi.

“Nitakapokuwa naenda kwenye Wilaya, nikifika ofisi za NIDA nikute kuna Afisa wa NIDA lakini awepo Afisa wa Uhamiaji ambao wanashirikiana kuwahudumia Wanzania ili kuepuka upumbufu kwa Wananchi na Malalamiko yasiyokuwa na tija” amesisitiza Bashungwa

Aidha, Bashungwa ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuendelea na Operesheni, misako na doria za kukamata wahamiaji haramu na kuhakikisha wageni wote wanaoingia ndani ya nchi, wanafuata tararibu na sheria za kuingia nchini.

Kadhalika, Bashungwa ametoa onyo kwa baadhi ya Maafisa wa Idara ya Uhamiaji ambao sio waaminifu, wanaowaonea Wananchi wakati wa Operesheni na misako inapofanyika

Awali, Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji CGI, Dkt. Anna Makakala ameeleza kuwa Idara ya Uhamiaji inaendelea na misako, doria na kaguzi mbalimbali kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa.

“Katika mwaka 2024 tumefanya Oparesheni, mikasako na doria nchi nzima, jumla ya Wahamiaji wa makosa mbalimbali 14,368 walikamatwa na kuchukuliwa hatua ” ameeleza CGI, Dkt. Makakala

Nimeelekeza Idara ya Uhamiaji na NIDA kushirikiana ngazi za wilaya maafisa wote wa NIDA na Uhamiaji wawepo ofisi moja wakati wanahudumia wananchi ili kuondoa usumbufu wa wananchi kutoka ofisi moja kwenda nyingine na wakati taasisi zote 2 zipo ndani ya Wizara moja na wilaya moja. Nitakapokuwa napita huko kwenye wilaya tutasimamia ipasavyo utekelezaji wa hili jambo kupitia mrejesho wa wananchi.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.47.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.47.jpeg
    773.8 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.49.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.49.jpeg
    364.3 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.51.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.51.jpeg
    273.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.54.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.54.jpeg
    382.7 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.57.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.57.jpeg
    410.3 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.59.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.42.59.jpeg
    274.4 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.01.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.01.jpeg
    612.5 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.02.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.02.jpeg
    407.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.03.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.03.jpeg
    469 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.05.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-23 at 17.43.05.jpeg
    876.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom