Waziri Bashungwa asema wahitimu wa kidato cha 4 wanaohitaji uhamisho waripoti kwanza kwenye vituo walivyopangiwa

Waziri Bashungwa asema wahitimu wa kidato cha 4 wanaohitaji uhamisho waripoti kwanza kwenye vituo walivyopangiwa

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa akitoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa wanafunzi kubadili kutoka vyuo kuelekea kidato cha tano kwa sababu mbalimbali Bungeni amesema, wahitimu hao wanapaswa kuripoti katika vyuo au shule walizopangwa wakisubiri taratibu nyingine za kiofisi

Amesema “baada ya wanafunzi kuripoti katika vituo walivyopangiwa, tumetoa wiki 2 na baada ya hapo tutaweza kupata orodha kamili ya wanaohitaji uhamisho, ili tuweze kuiratibu na kuwapangia kwa mujibu wa nafasi zitakazopatikana.

 
Kwa hiyo yeye kama mheshimiwa saaana haoni gharama? hajui shule uniform hazifanani?
 
Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa akitoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa wanafunzi kubadili kutoka vyuo kuelekea kidato cha tano kwa sababu mbalimbali Bungeni amesema, wahitimu hao wanapaswa kuripoti katika vyuo au shule walizopangwa wakisubiri taratibu nyingine za kiofisi

Amesema “baada ya wanafunzi kuripoti katika vituo walivyopangiwa, tumetoa wiki 2 na baada ya hapo tutaweza kupata orodha kamili ya wanaohitaji uhamisho, ili tuweze kuiratibu na kuwapangia kwa mujibu wa nafasi zitakazopatikana.

Waziri Bashungwa, waripoti walikopangiwa kwanza kwa gharama ya Nani? Ukumbuke unakoripoti uniform Pia ni tofauti na anakotaka kuhamia.​

 
Hili nalo kuliona hadi Rais wa nchi alione kama haliko sawa.Mwanafunzi anataka kuhamia sekondari ya Dodoma amepangiwa Iringa akaripoti kwanza aingie gharama za nauli na uniform Kisha ndo ahamie Dodoma tena akashone uniform mpya waziri mheshimiwa sana haoni changamoto hiyo.
 
Wanaripoti kwa gharama ya nani ?
Ni shida Hawa viongizi wetu, they are brainless goats sometimes, Sasa hebu niambie mtu Yuko kagera na amepangiwa chuo mtwara dheni unamwambia akaripot huku akisubiri uhamisho, gharama za nauri pamoja na chakula na maradhi for two weeks ni almost 500,000/= hii ni hasara kwa mzazi

Kitu kingine ni chuo gani kitapokea mwanachuo bila kuwa kalipia Karo na michango mwingine ya chuo?
 
Back
Top Bottom