Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sijui kwa nini watawala siku zote wanapoambiwa tumechelewa sana huwa wanakimbilia kuifananisha Tanzania na Marekani huku wakiacha mifano sahihi kama Korea Kusini, Singapore, Malaysia, Vietnam, na Indonesia.
Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!
Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!