Waziri Bashungwa: Barabara ya Mtwara hadi Dar es Salaam kujengwa upya

Waziri Bashungwa: Barabara ya Mtwara hadi Dar es Salaam kujengwa upya

Sijui kwa nini watawala siku zote wanapoambiwa tumechelewa sana huwa wanakimbilia kuifananisha Tanzania na Marekani huku wakiacha mifano sahihi kama Korea Kusini, Singapore, Malaysia, Vietnam, na Indonesia.

Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!
View attachment 3136436
Ameanza kuwa mjnga , Marekani hata kabla ya uhuru walikuwa zaidi ya tulivyo sasa.
 
Sijui kwa nini watawala siku zote wanapoambiwa tumechelewa sana huwa wanakimbilia kuifananisha Tanzania na Marekani huku wakiacha mifano sahihi kama Korea Kusini, Singapore, Malaysia, Vietnam, na Indonesia.

Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!
View attachment 3136436

Aache ujinga. Haiti nimepata uhuru zaidi ya miaka 200.... Lakini wote tunajua kinachoendelea Haiti. Hizo siasa wazifanyie huko huko vijijini na wasirecord na kutuletea hapa.
 
Kinachotakiwa ni mabadiliko ya fikra, kutoka kwenye serikali zitakazokuwa madalali wa wachina na wageni wengine kwenda kwenye kuwezesha wananchi wake kujenga uchumi na teknolojia ndani kwa ndani.
Kutegemea wageni katika miradi na kandarasi zote za barabara huku tukijisifu ni maendeleo ni kujilisha upepo.
Fikra lazima zibadilike, tunaendeleza China huku tukijisifu.
Maamuzi magumu yanahitajika kufanya mapinduzi ya ki uchumi, bana wageni, pendelea wazawa katika sekta hiyo hiyo kwa akili.
Umenena vema kabisa!!
 
Kinachotakiwa ni mabadiliko ya fikra, kutoka kwenye serikali zitakazokuwa madalali wa wachina na wageni wengine kwenda kwenye kuwezesha wananchi wake kujenga uchumi na teknolojia ndani kwa ndani.
Kutegemea wageni katika miradi na kandarasi zote za barabara huku tukijisifu ni maendeleo ni kujilisha upepo.
Fikra lazima zibadilike, tunaendeleza China huku tukijisifu.
Maamuzi magumu yanahitajika kufanya mapinduzi ya ki uchumi, bana wageni, pendelea wazawa katika sekta hiyo hiyo kwa akili.
🙋‍♂️✍️🎯🤝👏👌👍🙏🛡️
 
Sijui kwa nini watawala siku zote wanapoambiwa tumechelewa sana huwa wanakimbilia kuifananisha Tanzania na Marekani huku wakiacha mifano sahihi kama Korea Kusini, Singapore, Malaysia, Vietnam, na Indonesia.

Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!
View attachment 3136436
Muongo Akiongea utamwelewa tu
 
Serikali ya mama Yao imekuwa ya kipuuzi sana.Maneno mengi vitendo sifuri.kila siku tutafanya hivi lakini hakuna kinachofanyika zaidi ya kuchezea pesa za umma Kwa mambo yasiyo ya msingi
 
Sijui kwa nini watawala siku zote wanapoambiwa tumechelewa sana huwa wanakimbilia kuifananisha Tanzania na Marekani huku wakiacha mifano sahihi kama Korea Kusini, Singapore, Malaysia, Vietnam, na Indonesia.

Huyu hapa Bashungwa anafanya janja janja hiyo hiyo!
View attachment 3136436
Tatizo Tz ni shamba la Bibi ,hatuna plan ya miaka 100 ijayo ,ndiyo maana kina kiongozi akija anakuja na plan zake apige 20% asepe.
 
Back
Top Bottom