Waziri Bashungwa, mikoani hatuhitaji mabasi ya mwendokasi

Waziri Bashungwa, mikoani hatuhitaji mabasi ya mwendokasi

MUTUYAMUNGU

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
1,825
Reaction score
4,374
Matatizo yetu huku mikoani sio mabasi ya mwendokasi.

Maliza kwanza changamoto za hayo mabasi japo Dar. Mengi ni mabovu, machache na hata spika hazifanyi kazi kuwaambia abiria kituo kinachofuata.

Nenda Kimara ongea na wananchi wakupe changamoto za hayo mabasi kisha uzifanyie kazi.

Huku mikoani ulifanya utafiti ukaambiwa changamoto zetu in mabasi ya mwendokasi!!!? ULIDANGANYWA.

Changamoto kubwa no ukosefu wa ajira na ukosefu wa mitaji+tozo. Hizo hela za mabasi to a ajira au kopesha mitaji isiyo na riba kwa wananchi. Sisi tuache tutapanda bajaji!

Najua mnataka kupiga hela za World Bank kwa kisingizio eti Singida wanahitaji Mwendokasi badala ya kuwapa mikopo walime alizeti kisasa!
 
Kwa barabara zipi hizo huku Mikoani! Vumbi vumbi!!!

Kwetu sisi Noah na TATA zinatutosha.
Dodoma, Mwanza na Arusha zinahitaji mabasi ya mwendokasi ila miundo mbinu yake itengenezwe kuendana na mahitaji hayo sababu ni aina ya shughuki za kiuchumi zilizopo huko ili kupunguza msongamano wa magari usafiri huo njia pekee ya kupunguza gharama za mafuta kwa kuegesha mahala na kupanda basi la mwendo kasi kwenda huko anakoelekea kwa haraka na usalama
 
Dodoma, Mwanza na Arusha zinahitaji mabasi ya mwendokasi ila miundo mbinu yake itengenezwe kuendana na mahitaji hayo sababu ni aina ya shughuki za kiuchumi zilizopo huko ili kupunguza msongamano wa magari usafiri huo njia pekee ya kupunguza gharama za mafuta kwa kuegesha mahala na kupanda basi la mwendo kasi kwenda huko anakoelekea kwa haraka na usalama
Sawa mzee Bashungwa atakuletea hayo mabasi
 
Matatizo yetu huku mikoani sio mabasi ya mwendokasi.

Maliza kwanza changamoto za hayo mabasi japo Dar. Mengi ni mabovu, machache na hata spika hazifanyi kazi kuwaambia abiria kituo kinachofuata.

Nenda Kimara ongea na wananchi wakupe changamoto za hayo mabasi kisha uzifanyie kazi.

Huku mikoani ulifanya utafiti ukaambiwa changamoto zetu in mabasi ya mwendokasi!!!? ULIDANGANYWA.

Changamoto kubwa no ukosefu wa ajira na ukosefu wa mitaji+tozo. Hizo hela za mabasi to a ajira au kopesha mitaji isiyo na riba kwa wananchi. Sisi tuache tutapanda bajaji!

Najua mnataka kupiga hela za World Bank kwa kisingizio eti Singida wanahitaji Mwendokasi badala ya kuwapa mikopo walime alizeti kisasa!
Abiria mgeni Dar kwa mwendo kasi anaweza kupitiliza vituo sana, gari inashuka kimya kimya na inaondoka kimya kimya. Mikoani bajaji na haisi zinatosha kwa sasa, labda kwenye majiji makubwa.
 
Abiria mgeni Dar kwa mwendo kasi anaweza kupitiliza vituo sana, gari inashuka kimya kimya na inaondoka kimya kimya. Mikoani bajaji na haisi zinatosha kwa sasa, labda kwenye majiji makubwa.
Kweli mkuu. Wamalize kwanza hizo changamoto za Dar
 
Kihuduma hatuna mwendo kasi hapa nchini,kuwa na mabasi marefu halafu kila baada ya dk 2 mmesimama ndio kasi hiyo?
 
Serikali ya kibaguzi sana inabagua wananchi wake, imejikitika mijini tu , vijijini tunahitaji maji, vijijini tunahitaji umeme, tunahitaji vituo vya afya, tunahitaji barabara japo za changarawe, tunahitaji shule si mwendo kasi
 
Matatizo yetu huku mikoani sio mabasi ya mwendokasi.

Maliza kwanza changamoto za hayo mabasi japo Dar. Mengi ni mabovu, machache na hata spika hazifanyi kazi kuwaambia abiria kituo kinachofuata.

Nenda Kimara ongea na wananchi wakupe changamoto za hayo mabasi kisha uzifanyie kazi.

Huku mikoani ulifanya utafiti ukaambiwa changamoto zetu in mabasi ya mwendokasi!!!? ULIDANGANYWA.

Changamoto kubwa no ukosefu wa ajira na ukosefu wa mitaji+tozo. Hizo hela za mabasi to a ajira au kopesha mitaji isiyo na riba kwa wananchi. Sisi tuache tutapanda bajaji!

Najua mnataka kupiga hela za World Bank kwa kisingizio eti Singida wanahitaji Mwendokasi badala ya kuwapa mikopo walime alizeti kisasa!
Bora angesema machine zabkukamua alizeti, mwendokasi mbona zipo siku nyingi, kilometa 50 gari/hiace inaenda kwa dk25 hiyo simwendo kasi tosha
 
Serikali ya kibaguzi sana inabagua wananchi wake, imejikitika mijini tu , vijijini tunahitaji maji, vijijini tunahitaji umeme, tunahitaji vituo vya afya, tunahitaji barabara japo za changarawe, tunahitaji shule si mwendo kasi
Kabisa mkuu
 
Kihuduma hatuna mwendo kasi hapa nchini,kuwa na mabasi marefu halafu kila baada ya dk 2 mmesimama ndio kasi hiyo?
Pale gerezani ama kivukoni,
Kunakuwa na kundi la abiria linalosubiri mwendokasi yenye siti ili wakae,hawataki kusimana..
Wakati huohuo mwendokasi inawasubiri abiria wasimame hapo mwanzo wa kituo
Masaa yanakatika,na bus nyingine iko pembeni haina watu ila kwa uroho wa wale wapumbavu wasimamiaji,wanachelewesha watu bila sababu za msingi na wakati humo njiani vituo vya mbele kuna abiria wengi tu watakaosimama kwenye hilohilo bus waliloligandisha hapo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom