Waziri Bashungwa: TANROADS kuanza ujenzi wa Daraja la Jangwani

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
TANROADS KUANZA UJENZI DARAJA LA JANGWANI

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Bashungwa ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa mwaka wa Fedha 2024/25.

Amesema mradi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maendelezo ya Bonde la Mto Msimbazi.

Bashungwa amesema daraja hilo litakalojengwa lina urefu wa mita 390 pamoja na Barabara unganishi zenye urefu wa mita 710 na kina cha mita 15.5 kutoka usawa wa bahari.

โ€œDaraja hili litakapokamilika litatatua changamoto ya kujaa kwa maji katika barabara ya Dar es Salaam-Morogoro eneo la Jangwani wakati wa mvua na kusababisha kufungwa kwa barabara hiyo mara kwa mara.โ€, ameongeza Bashungwa.

Bashungwa amesema tathmini ya zabuni ili kumpata Mkandarasi na Mhandisi Mshauri zinaendelea.
 
Hiyo paragraph ya mwisho pekeyake inatosha kutilia Shaka juu ya ujenzi
 

TANROADS KUANZA UJENZI DARAJA LA JANGWANI

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Bashungwa ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa mwaka wa Fedha 2024/25.

Amesema mradi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maendelezo ya Bonde la Mto Msimbazi.

Bashungwa amesema daraja hilo litakalojengwa lina urefu wa mita 390 pamoja na Barabara unganishi zenye urefu wa mita 710 na kina cha mita 15.5 kutoka usawa wa bahari.

โ€œDaraja hili litakapokamilika litatatua changamoto ya kujaa kwa maji katika barabara ya Dar es Salaam-Morogoro eneo la Jangwani wakati wa mvua na kusababisha kufungwa kwa barabara hiyo mara kwa mara.โ€, ameongeza Bashungwa.

Bashungwa amesema tathmini ya zabuni ili kumpata Mkandarasi na Mhandisi Mshauri zinaendelea.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 11.37.41.jpeg
    278.6 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 10.58.37.jpeg
    294.9 KB · Views: 8
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 12.39.30.jpeg
    119.7 KB · Views: 11
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 12.47.02.jpeg
    36.2 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 12.47.03.jpeg
    38.8 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 12.47.03(1).jpeg
    37.4 KB · Views: 9
TANROADS KUANZA UJENZI DARAJA LA JANGWANI

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Bashungwa ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa mwaka wa Fedha 2024/25.

Amesema mradi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maendelezo ya Bonde la Mto Msimbazi.

Bashungwa amesema daraja hilo litakalojengwa lina urefu wa mita 390 pamoja na Barabara unganishi zenye urefu wa mita 710 na kina cha mita 15.5 kutoka usawa wa bahari.

โ€œDaraja hili litakapokamilika litatatua changamoto ya kujaa kwa maji katika barabara ya Dar es Salaam-Morogoro eneo la Jangwani wakati wa mvua na kusababisha kufungwa kwa barabara hiyo mara kwa mara.โ€, ameongeza Bashungwa.

Bashungwa amesema tathmini ya zabuni ili kumpata Mkandarasi na Mhandisi Mshauri zinaendelea.
 

Attachments

  • IMG-20240529-WA0200.jpg
    314.1 KB · Views: 11
  • IMG-20240529-WA0276.jpg
    36.2 KB · Views: 7
  • IMG-20240529-WA0277.jpg
    38.8 KB · Views: 8
  • IMG-20240529-WA0278.jpg
    37.4 KB · Views: 9
  • IMG-20240529-WA0279.jpg
    39.8 KB · Views: 8
Bongo kama ulaya soon 2030 ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Uhuni mtupu.hivi hawa viongozi wa suti za mitumba huwa watuona sisi ni wa kudanganywa Kila siku?mradi huu ulishakufa zilizobaki ni porojo tu.
 
Kingongo busisi mwanza daraja limekamilika?
Mkandarasa wa jangwani ni nani???
SGR mlitangaza tenda vipande vyote mwisho tumeishia aibu tupu.
 
Kingongo busisi mwanza daraja limekamilika?
Mkandarasa wa jangwani ni nani???
SGR mlitangaza tenda vipande vyote mwisho tumeishia aibu tupu.
Ila ninmuunga mkono kupanua njia za kuingia kwenye majiji Mwanza,Mbeya,Dar na Arusha. Aaanze na Mwanza na Mbeya zinasahaulika mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ