Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Bashungwa amesema Serikali itawezesha Kamisheni ya Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai kwa vifaa na mifumo ya kisasa ili kusaidia Jeshi la Polisi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.
Awali, Kamishna wa Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai, CP Shabani Hiki, amesema Kamisheni hiyo inaendelea kuboresha mifumo yake, Katika mwaka 2024, imefanikiwa kuchunguza vielelezo 21,905 vya kesi 1,858 pamoja na miili 411, na kubaini vyanzo vya vifo.
Pia soma ~ Dar es Salaam: Mchakato wa ufuatiliaji simu zilizoibiwa kupitia Vituo vya Polisi una ‘harufu ya michezo michafu’