Waziri Biteko anakosa mshauri wa kisiasa. Hana muda na Wizara ya Nishati, muda mwingi anatumia kujitangaza mikoani na ameanza kupoteza mvuto jukwaani

Swadakta
 
Noma sana
 
Bitter truth
 
Wasukuma leadership skills ni zero, jiulize kwa nini wakoloni hawakujenga shule kwa kipindi kile walichotutawala?
 
Nadhani macho yako yapo focused na Biteko peke yake.
Uhalisia ni kwamba viongozi wengi toka marekebisho ya baraza la mawaziri wamekuwa field na sio ofisini.

Mawaziri na Manaibu wao wote wapo field. Kwa jicho pana utagundua kuwa there is something pre-planned. Yanayofanywa sasa yamepangwa na wananchi tumepangika haswa.

Imefika wakati media zote zinamulika ziara za mawaziri na manaibu wao. Nothing much is reported.

 
Umeme kishawapa Tanesco miezi 6. Unataka akae hapohapo anangojea mpaka lini?

Kumbuka huyo ni Naibu Waziri Mkuu pia.
Naibu Waziri mkuu ana kazi gani kikatiba? Huo unaibu waziri mkuu ni upuuzi tu. Uwezo wake utapimwa kwenye nishati.
 
Naibu Waziri mkuu ana kazi gani kikatiba? Huo unaibu waziri mkuu ni upuuzi tu. Uwezo wake utapimwa kwenye nishati.
Kazi yake ni kumsaidia waziri mkuu. Siyo kila kazi imeainishwa utendaji wake kikatiba. Katiba ya Tanzania imempa uhuru Rais kubuni kazi ambazo anaona zina manufaa kwa taifa.

Kwani unataka kumshauri kisiasa akakukatalia? Si ukampe ushauri?
 
Wivu 😂😂

View: https://twitter.com/OUtalii/status/1713443876587868183?t=jhunkkQtqri2MbaOHZRU3A&s=19
 
Acha ujingai,Yani Faiza na Lucas ni crtical thinker's??
 
Acha ujingai,Yani Faiza na Lucas ni crtical thinker's??
Ninakubaliana nawe tena, ingawaje kunipa heshima ya "ujinga" inakufanya wewe kuonekana kuwa mpumbavu.
Ninachokubaliana nawe ni hilo la "critical thinkers" kuwahusu hao watu wawili na wengineo. Msemo sahihi unaowahusu hawa ni "Think tanks", na siyo "Critical tinkers".
Nilitumia 'phrase' hiyo kwa vile ndiyo iliyotumiwa mwanzo.

Lakini najua pengine hata hii ya 'think tank' badokwa mtu kama wewe usijue usahihi wake hapa.
 
Dotto-Toilet Paper …
hajielewi na Hana mvuto…angejua kuwa Kawekwa pale kubalance siasa za kanda ya Ziwa hasa baada ya ziara iliyofanikiwa ya wapinzani.
walioshauri achaguliwe waliamishwa kuwa yeye ndio mwenye nguvu kanda ya Ziwa hasa kwenye kundi maarufu la Genge ….mahesabu ni tofauti hana ushawishi wowote kule ..pengine ana ushawishi kwenye kendo la inner circle yeye na Kalemani na Ngussa na wana pesa za Kutosha…lakini chini hawana watu …….Magufuli Hakuwahi kuwapenda wasukuma original …wengi wao waliteseka tu kama wengine …..kuna kundI dogo ambalo walijinasibu kama wasukuma wakiwa nje lakini huko ndani wanajuana
 
Akisoma hapa ataelewa kitu hila kama ata soma basi
Akisoma ataelewa kwamba fitina Sasa zimeanza akae mguu sawa...wale wanaogopa ujio wake..mbinu chafu dhidi yake ni nyingi afanye kazi zake kwa taadhari kubwa
 
Acha chuki basi.. changamoto ya wa Tanzania mliowengi mnajifanya wajuaji sana..hapo ndio shida inaanzia..Kwanza Nani alikwambia Dotto ni msukuma..
 
Hapo sahihi kabisa nachokiona anazunguka tu kumsifia bibi tozo wala hakuna la maana anafanya
 
Ukiona humo ndani JK na Rostam wapo ndani jua ni dili tu hapo zinawekwa sawa, wameona Dotto hawezi kukataa kitu chochote sababu siyo mtu wa mfumo ni wakupewa maelekezo, sahivi Wizara ya Nishati ni kama haina Waziri maana kutwa anazunguka tu kusifia na kupokea posho
 
January kaondoka wizarani..... Bado kuna tatizo tu nishati? Linatoka wapi tena na tatizo limeondolewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…