Waziri Biteko iwajibishe TPDC kwa makusudi wanayoifanya kwa watumiaji wa Gesi kwenye magari

Waziri Biteko iwajibishe TPDC kwa makusudi wanayoifanya kwa watumiaji wa Gesi kwenye magari

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
Kwa muda sasa kumekuwa na usumbufu mkubwa wanaoupata watumiaji wa magari ya gas. Foleni ya kujaza gas ni masaa 3 hadi 4.

Hakuna sababu za msingi zaa kunyima watu vibali vya ujenzi wa vituo vya gas. Wajibisha hawa watu ili hili tatizo liishe.
 
Ewura wanahusika vp na gas?

Gas ni TPDC
 
Kwa muda sasa kumekuwa na usumbufu mkubwa wanaoupata watumiaji wa magari ya gas. Foleni ya kujaza gas ni masaa 3 hadi 4.

Hakuna sababu za msingi zaa kunyima watu vibali vya ujenzi wa vituo vya gas. Wajibisha hawa watu ili hili tatizo liishe.
Hujui vibali vinakopatikana na kuna uwezekano gas imejaa mjini Hujui iliko .
 
Kwa muda sasa kumekuwa na usumbufu mkubwa wanaoupata watumiaji wa magari ya gas. Foleni ya kujaza gas ni masaa 3 hadi 4.

Hakuna sababu za msingi zaa kunyima watu vibali vya ujenzi wa vituo vya gas. Wajibisha hawa watu ili hili tatizo liishe.
Wanalinda wafanya biashara za mafuta
 
Nchi ya kisenge saana hii,
Usikute wanalinda wafanya biashara za mafuta, au huenda wenye mamlaka hawajapewa 10%
Usishangae na gesi yenyewe tukapandishiwa.
 
wenye sheli za mafuta pia wanapenda kufunga Gesi! tatizo lipo kwa EWURA maana ndio wanaotoa licence kweli wanatutesa sana shida CEO ni mume wa Spika halafu ana majivuno mbaya kabisa
 
Naomba kuuliza ile foleni ya magari karibu na kituo cha mwendokasi Ubungo ndio foleni ya kujaza Gas??
 
Wanalinda wafanya biashara za mafuta
Umemaliza kila kitu hapa... Na pia kuongezea wenye nchi wanaogopa kupoteza mapato makubwa yanayopatikana kirahisi kutoka kwenye mafuta... Yaani nina uhakika kabisa kama zikitokea kampuni zenye uwezo na mtaji wa kutosha kugeuza magari kutoka kwenye kutumia mafuta kwenda kwenye gas na pia kuweka vituo maeneo mengi mpaka mikoani lazima watapigwa zengwe tuu
 
Umemaliza kila kitu hapa... Na pia kuongezea wenye nchi wanaogopa kupoteza mapato makubwa yanayopatikana kirahisi kutoka kwenye mafuta... Yaani nina uhakika kabisa kama zikitokea kampuni zenye uwezo na mtaji wa kutosha kugeuza magari kutoka kwenye kutumia mafuta kwenda kwenye gas na pia kuweka vituo maeneo mengi mpaka mikoani lazima watapigwa zengwe tuu
 
Back
Top Bottom