TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

Ustaarabu wa wenzetu hawakimbilii kutangaza kifo,na wanafanya hivyo kwa sababu hakuna haja ya kukimbilia kutangaza kifo,pengine mtu kazimia tu,huyu mama alikufa siku 7 kabla ya leo.
 
Kwakuwa yamewatokea basi ndo unaona kutetea hoja yako kikubwa tuheshimiane magonjwa yapo kwa kila kiumbe hai tusinyosheane vidole coz huijui kesho!
 
sina kawaida ya kuwasifia marehem lakini kwa huyu mama sina cha kumkashifia
rip celina
 
Lowassa atadumu hadi atakapomaliza muda wake wa uongozi miaka 10,na zaidi..


R.i.p komba ,r.i.p kombani!!??
 
Kapumzike kwa amani Mama Cellina Kombani!umetangulia bila kushuhuudia mabadiliko tuliyodhamiria!
 
Kila kitu sasa mnageuza siasa hata kifo...! Kufilisika sera kubaya sana....
Ugonjwa mmegeuza siasa wenyewe kwa hiyo si ajabu na wengine wakatumia fursa hii kuwaonya msipende kudhihaki mtu kwa ugonjwa muwe na utu kwani suala la ugonjwa mtu haandiki barua kuliomba,na ugonjwa usiwe sababu ya kuzima ndoto ya mtu
 
RIP selina umemaliza kazi yako duniani poleni wana familia wote.
Sasa watanzania tutafakari kuwa na hispital nzuri ili tusiwe tunakimbilia India kwa matibabu.samahani si furahii kifo cha mtu ila tunatakiwa tujitaidi tuwe na hispital zetu
 
Hii ndio siasa ya tz akifariki cdm mungu aiweke roho ya kamanda/jasiri shupavu mahala pema ila wa ccm hapaswi kupewa rip kweli tz tuna safari ndefu kufika kwenye siasa bora,mungu ailaze roho ya mama Celina mahal pema amen.

ahahaha,nyie mnatengeneza hayo mazingira:
)acheni dharau
a)acheni kiburi na ghilba
c)acheni maneno ya shombo na dhihaka
d)acheni kujifanya miungu watu kuwachuria wenzenu vifo!
e)halafu mtende haki,mje muone kama tutaandika kinafki kama tunavyo mwandikia huyu gamba mwenzenu
f)heshimuni na muwapende watz muone kama hawajawazika kwa heshima zote!
g)muda upo,jirekebisheni magamba nyie!
 
Ndg zangu tukumbuke kila mwanadamu ataonja umauti hivyo hatupaswi kujisahaulisha mauti maana baina yangu na wewe hatujui nani anafuata.
 
Poleni wafiwa! Sote tu wasafiri, kila mmoja ataondoka wakati wake ukifika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…