Mimi nadhani viongozi wetu wa Tanzania kama MAWAZIRI, WABUNGE, MAJAJI na Senior Executive woote katika ofisi ama taasisi za umma na wengine woote wenye dhamani kwa jamii wangeiga tabia ya waziri wa fedha wa Japan. Ukilewa ukiwa kazini, ukifumaniwa, ukifanya ufisadi n.k ni wewe mwenyewe unapima adhari za makosa na matendo yako kwa jamii na halafu unajiuzulu mwenyewe.