Waziri Chamurilo: Familia(Mfugale) wameonesha sintofahamu (ombwe) kwamba ilikuwa haifahamu, Mhandisi Mfugale alisema anajisikia vibaya kikaoni

Nothing to do with AC!
Inaweza kuwa ni heart issue, BP na mengine mengi.
Kama tatizo lilikuwa ni AC ingewazuru pia wengine kwenye hiyo ofisi!
 
Watu wengine hapa Tanzania hawana elimu ya huduma ya kwanza. Wangeweza hata ku check heart rate(pulse) manually, and respiration!
 
We nae husomi.?
Alisema hajiskii vizuri lakini alikua anaweza kutembea mwenyewe ndo akaenda kujiskilizia kwanza chumba kingine..

haya hio first aid ukileta utafanya nini?.
Hata mkiahirisha kikao ndo yule anapona?.
 
We nae husomi.?
Alisema hajiskii vizuri lakini alikua anaweza kutembea mwenyewe ndo akaenda kujiskilizia kwanza chumba kingine..

haya hio first aid ukileta utafanya nini?.
Hata mkiahirisha kikao ndo yule anapona?.
Mkuu,
First aid(Huduma ya kwanza) ina serve life.
 
Safari ilianzia Ubungo daraja la Kijazi, kituo kikichofuata stendi ya JPM, Kituo cha tatu daraja la Mfugale, Kituo kinachofuta ni soko kuu la Ndugai Chamwino Idodomya.
 

Sisi ni watanzania mkuu, kuna vitu akili zetu zimedumaa kuvizingatia hususani ni hali za afya zetu...

Mathalani ni mara ngapi mimi, wewe na yule tumewahi jisikia vibaya kiafya lakini badala ya kutafuta tabibu tunaishia kwenda kulala, au kupumzika kivulini tukitaraji hali ya mwili itarejea kuwa sawa?

Kwa ukubwa wa umri wa Mfugale, maarifa ya elimu aliyokuwa nayo na hata pesa aliyokuwa nayo alipaswa awe na personal consultant wa afya ambaye bila shaka familia ndio ingekuwa ikimrushia hayo maswali kwa sasa...
 
We nae husomi.?
Alisema hajiskii vizuri lakini alikua anaweza kutembea mwenyewe ndo akaenda kujiskilizia kwanza chumba kingine..

haya hio first aid ukileta utafanya nini?.
Hata mkiahirisha kikao ndo yule anapona?.
Acha ujinga wewe kikao mlisogeza mbele kwa kuwa alisema hawezi kuja ana kazi zingine mkasogeza mbele ila siku ya kikao anaumwa na kikao kinaendelea sasa kama alikuwa sio muhimu kuwepo kwake mlisogeza kikao mbele cha nini? Mtu akisema hajisikii vizuri ghafla ni dalili mbaya ni lazima aende kupata huduma ya kwanza kwa hiyo ulitaka akianguka ndio apewe huduma. Juzi umeona mchezaji kaanguka kapona kwa sababu tu alipata huduma ya kwanza. Mimi mtu yoyote anaweza kufa hata akipata huduma ndio maana wengine wanafia mahospitalini wakitibiwa. Maelezo ya naibu waziri hayajanyoka na ndio maana family imeyasema hadharani sababu hata wao hawajui kimetokea nini. Sasa kainuka mweneyewe alienda kumuangalia nini tena ofisini? kuangalia kama kisha kufa au bado?
 
*save life....
Kwa wenye ujuzi nayo

mtu amekaa kwenye kiti anakwambia ongeza AC kwanza nijiskilizie nipoe kidogo utafanya huduma ipi ya kwanza?.
Sijui kama hapa Bongo tuna “Health and safety at work policies” . Nchi nyingine kila sehemu ya kazi ni lazima uwe na first aid responder kila shift. Ni mfanyakazi wa kawaida lakini pia wame train kuwa first aider. Hii ni course ya siku moja.
First aid inajumuhisha pia kuangalia vital signs.

Mfano huyu bosi aliposema anajisikia vibaya kitu cha kwanza ni ku check vital signs.

Wangeweza ku count pulse rate manually na respiration. Mfano:
HR - 110 per minute
Resp - ni above 24.
You know there is something is cooking. Angekipizwa hospital.
Na kama ukitumia observation kit. Unaweza ku check:
BP
Temp
BGL
Huyu inawezekana li saa lizima amesema anajisikia vibaya na solution ni AC…very sad. Life could have been saved here!
Usichukulie first aid ni CPR tu!
 
Kifo kikitokea kama hiki kunakuwa na nadharia nyingi sana. Nachojiuliza: hawakumfanyia post mortem kujua chanzo?
 
Maoni mazuri sana. Mimi niliondoka Tanzania sijui chochote kuhusu first aid lakini nchi niliyoenda nikuta mpaka mashuleni wanafundisha. Kazini ndiyo usiseme, kila baada ya miaka miwili lazima mpewe trainning na first aid kits hazikosekani. Tanzania hata watu ambao wangeweza kupona wanakufa.
 
Unajua Donald Trump alikua rais akiwa na umri gani? Pia angalia umri wa yule mama speaker wa bunge lao. Halafu uje tena na hoja ya umri.

Nadhani ni mazingira yetu na mfumo wa maisha yetu ndio shida
Mambo ya umri sidhani kama ni issue. Kuna watu mpaka miaka 80 wanaweza kufanya kazi hata kuliko mtu wa miaka 50. Marehemu hakuwa kwenye hali mbaya atleast kwa muonekano.
 
Ukifika 60 staafu acha ulafi maisha huisha na wengine wapo na wanazaliwa. Kuendelea zaidi ya hapo ni laana.
Mfugale ni mfano mbaya wa binadamu mlafi
 
Hii kanuni yako nakubaliana nayo sana. Umri ukienda pumzika. Utajiepusha na mengi. Hata mzee Machache angejipunguzia majukumu ya mali na familia(asingeoa tena) tungekuwa naye hadi leo.
 
Watu wengine hapa Tanzania hawana elimu ya huduma ya kwanza. Wangeweza hata ku check heart rate(pulse) manually, and respiration!
Hivi unawezaje kuwa na mkutano kama huo bila first aid?

Hawa ndio tunategemea ni role models wa taifa, inakuwaje mtu anajisikia vibaya wanampeleka chumbani kupumzika badala ya kumwahisha hospital ama kuita Dr. kama hawana gari?

Mtu anataka kuwekwa kwenye lower temperature, below room temperature, unampunguzia halafu unamwacha!. Hivi hawa jamaa, if they can not be serious with the life of their peers, how can we expect them to be serious with national issues?

How many more decades do we need to defeat our three big enemies of development if this is the level of our role models?

Hi huzuni sana, tena sana, tena sana. Ni nini hiki ?
 
We nae unajichangany hadi hueleweki
Na unafoka kwani mi nilikuwepo?ama mi ndo Waziri? Ama kwani Wizara ndo wamemuua?

hiyo first aid kila mtu anajua kufanya?

Tupunguze maneno na lawama
Siku zilifika Mungu kamchukua Apumzike kwa amani Baba wa Watu

Vikao vitaendelea huwezi jua wanafanyaje kazi
 
Hilo ndo la msingi awepo Afisa mmoja katika wale HR anaejua na kuwajibika na masuala hayo
 
Sasa unaenda Hospital kufanya kama siku haijafika utaishi tu. Wewe unaongelea wepesi wana familia wanasema hawajui kimetokea nini haki yao kuuliza kumpa mtu huduma ya kwanza ni jambo muhimu kwa mgonjwa yoyote. Hakuna mtu analaumu mtu kufa wana familia wamehoji nini kilitokea hawajui anakuja mtu kutoa maelezo baada ya kuongea katika msiba mbele ya Rais kwanini wasingeambiwa kabla. Vikao kasema tulisogeza mbele kwa ajili yake alikuwa na majukumu mengine siku ya kikao kinaendelea yeye hayuko anajisikia vibaya. Ba uhakika hawahusiki na lolote ila hatua walizochukuwa ni dharau mtu hajisikii hovyo unasema kapumzike ofisi ile kwani alisema na usingizi sijalala mimi.
 
Miaka miwili ni mingi sana. Kwa kampuni inayojali inatakiwa iwe after 6 months.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…