dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... ni tafsida tu ilitumika; ilitakiwa isomeke "hii nchi nitaichezea sana".Hii nchi imechezewa sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ni tafsida tu ilitumika; ilitakiwa isomeke "hii nchi nitaichezea sana".Hii nchi imechezewa sana....
akikataa usimchape lazima umuulize nipesababu akikushawishi kwann aliiba hela mezani yamama ake unamwacha ,uzembe wamama anapigwaje mtoto ,utapiga anakufa unaozea jela.....sheria haitambui kumpiga mtoto.good to bargainWanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.
Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.
Bakora sio mafundisho.Asitupangie, yeye hakuchapwa? Dogo akizingua anakula bakora za kutosha tu
Ukimwita mwanao na kumwambia unataka umchape, si utampa sababu? Atakuomba msamaha, Sidhani kama utaendelea kumchapa.Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.
Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.
======
Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.
"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"
Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.
Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.
Yani nisimamie ukucha kumpata yeye halafu nimuombe ruhusa ya kumchapa? Hilo haliwezekani, nitamkunyuga tu atake asitake.
Asubiri siku atayotumbuliwa kama Rais atamuomba ruksa ya kumtumbua
Si wa kumsikiliza huyu, baadae anaeza anza kuwashangaa kwa uamuzi huo.Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.
Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.
======
Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.
"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"
Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.
Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.
Huyu mama ni kielelezo kuwa sifa kuu ya mtu kuwa kiongozi Tanzania ni asiwe na akili timamu..Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.
Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.
======
Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.
"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"
Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.
Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.