Waziri Dkt. Dorothy Gwajima amesema ukitaka kumchapa mtoto umuombe ruhusa. Hili linawezekana vipi?

Waziri Dkt. Dorothy Gwajima amesema ukitaka kumchapa mtoto umuombe ruhusa. Hili linawezekana vipi?

Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.
Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.
akikataa usimchape lazima umuulize nipesababu akikushawishi kwann aliiba hela mezani yamama ake unamwacha ,uzembe wamama anapigwaje mtoto ,utapiga anakufa unaozea jela.....sheria haitambui kumpiga mtoto.good to bargain
 
Viongozi wote wanaotumia nguvu badala ya akili wengi ni zao la ukatili wa kupigwa utotoni
 
Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.

Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.

======

Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.

"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"

Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.

Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.
Ukimwita mwanao na kumwambia unataka umchape, si utampa sababu? Atakuomba msamaha, Sidhani kama utaendelea kumchapa.
 
Yani nisimamie ukucha kumpata yeye halafu nimuombe ruhusa ya kumchapa? Hilo haliwezekani, nitamkunyuga tu atake asitake.
1623905148075.png
 
Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.

Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.

======

Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.

"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"

Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.

Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.
Si wa kumsikiliza huyu, baadae anaeza anza kuwashangaa kwa uamuzi huo.
 
Wanajamii forums, nisiwachoshe nimekutana na hili tamko la waziri afya Dr Gwajima ya kwamba ukitaka kumchapa Mtoto muombe ruhusa Kwa sababu ana haki zake.

Nikabaki najiuliza kwamba nikitaka kumwadhibu mwanangu nimuite fulani njoo, alafu Kisha nimwambie mwanangu naomba nikuchape, akikataa namwacha au sasa ndo nafanyaje? Alafu baadae viongozi mtarudi kutwambia maadili yameporoka.

======

Kauli hiyo imetolewa na Dkt. Gwajima mnamo Juni 9, 2021 jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ambayo yataenda sambamba na uzinduzi wa Makao ya Taifa watoto katika eneo la Kikombo.

"Akili ya toto inabidi iandaliwe iweze kukubali na kukataa mafunzo ya kuficha vitendo vya ukatili. Ukimfanyia nyumbani ataenda kuvisema shuleni. Ukimfanyia nyumbani anajua kabisa kuwa mimi haifai kupigwa, kufinywa bila utaratibu. Maana ifike mahala hata kumpiga umuombe ruhusa; naomba nikuchape kidogo. Mtoto ana haki zake!"

Sasa wewe unataka kumpiga tu, unamuumiza, unamfungia ndani anaugua – atakusema. Tunakwenda kwenye Child Empowerment, yaani kum-empower mtoto tangu akiwa mdogo – kama Watoto wa mataifa mengine.

Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima.
Huyu mama ni kielelezo kuwa sifa kuu ya mtu kuwa kiongozi Tanzania ni asiwe na akili timamu..
 
Back
Top Bottom