DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
At least umeongea point leo siyo zile ngojera zako za kina popat na kilufitini watu
 
Kwenye ule uzi wako wa kutongozwa kulikuwa na mafanikio yoyote?
 
Hii lazima itaibwa kule kwenye magazeti halafu hawatatoa credit kwako mleta uzi wenye akili nyingi sana na madini adhim

Kongole Mkuu
Asante sana Mdogo wangu wa Damu kabisa steveachi hakika Marehemu Babu yetu alituachia Wajukuu zake Zawadi Kubwa ya Maarifa, Umakini na uwezo wake mkubwa wa Akili na Sisi Wajukuu zake Wapendwa tunapita mule mule tu.

Mwenyezi Mungu ailaze Roho yake na za Marehemu Wapendwa Wetu wengine Wote mahala pema Peponi Amen.

Tuko pamoja Dogo.
 
Uko sahih Sana jama angu kweny sheria Ni mweupe pee haujui kuwa kufanya hyo kuweka mtego ni kosa pia kisheriaa kumfunga mtu Ni Jambo rais

Otherwise mengine yanawezekana
 
Kwenye ule uzi wako wa kutongozwa kulikuwa na mafanikio yoyote?
Mengi sana, unadunda mpaka leo. Kauchungulie.

Si unaona, umeshindwa hoja yako ya uongo umehamisha magoli.

Mara mmeanza mdini, mkaja kahaba, sasa kutongozw. Mtamaliza nyimbo lakini hoja zangu zinabaki palepale.
 
Asante sana Dada yangu Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D kwa Kunielewa kwa niliyokuandikia, kuyakubali na kuahidi kuyafanyia Kazi haraka mno ili Kulimaliza rasmi.

Tuko pamoja Dada piga Kazi. Tunakupenda na Kukuthamini na ndiyo maana GENTAMYCINE nimeamua kukupa Ushirikiano wangu wote.

Una bahati sana na Mimi Dada.
 
Ila wewe jomba unajimwambafy hadi kwa waziri!!.. 😄😄😄 yaani waziri ndo kabahatika kwako kupata ushauri??
 
Mengi sana, unadunda mpaka leo. Kauchungulie.

Si unaona, umeshindwa hoja yako ya uongo umehamisha magoli.

Mara mmeanza mdini, mkaja kahaba, sasa kutongozw. Mtamaliza nyimbo lakini hoja zangu zinabaki palepale.
Wewe sio kwamba huna akili tatizo ni hiyo roho yako mbaya ya kigaidi uliyo nayo. Unautumia uislamu vibaya.
 
Samahani kama nitawakwaza Mwanamke anayebakwa Beach asilimia kubwa wanakuwa wametengeneza mazingira wenyewe..
 
Bila shaka ni muhaya
GENTAMYCINE ni 100% Zanaki ( Mara ) na 100% Yao ( Mtwara ) ila Mababu zangu walitokea Rwanda katika Kabila la Watutsi na wakaja huku Tanzania na Kuulizwa Wazanaki ( yaani mmekuja na nini ) na Wengine wakaenda Uganda wanaitwa Banyankole na Bahima huku wengine tena wakaenda Mkoani Kagera na wanaitwa Wanyambo ambapo Kenya pia wapo wanaitwa Kalenjin na Congo DR pia wapo wanaitwa Banyamulenge au Kadogoo. Pata Elimu hii ya bure iweze Kukusaidia.

Cc: steveachi, adriz, Glenn na Bujibuji Simba Nyamaume
 
Mental Case huyo asikusumbue wala asikupotezee muda Dada. Piga Kazi na tuko nyuma yako na pamoja nawe.
 
Nimekuelewa vyema kabisa Mheshimiwa Waziri. Asante Kwako pia kwa kuendelea Kulipigania na Kutuonyesha Ushirikiano wako bila Kuchoka. Ubarikiwe na udumu hapo Wizarani.
 
Dah, wanawake hampendani kabisa aisee
Na hasa Mmoja akiwa Mzuri kama Gari aina ya Mercedes Benz na Mwingine Mbaya kama Lorry la Mchanga BEDFORD ndiyo balaa kabisa katika Kupendana Kwao kama Jinsia moja.
 
Una chuki binafsi.
Huyu Gwajima d angekuwa muislam mwenzio hata angekuwa dhaifu ungemtetea na kumlinda.

Huna maana sasa dada FaizaFoxy .

Niambie ni waziri gani mwanamke ni mchapa kazi kumzidi huyu?
Akikujibu na Kumtaja kwa Makusudi ( bila Uwoga wa Kichapo na Adhabu ) naenda Kususu ( Kukojoa ) Getini MP 1 Jeshini Makongo Lugalo Mubashara mchana Kweupe....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…