DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya haya sasa...mjadala umebadilika na kuwa vichambo...dj walete


Ujue tunawasoma hvyooooo...
 
Weka ushahidi.

Wewe kaa kimya, wewe ndiyo msemaji wake? Siku zote msema kweli anaonekana mkorofi. Hilo mbona linajulikana. Utakuta wewe ndiyo wale wale tu. Mawaziri mpaka Rais anasemwa hovyo humu, mlikuja kutetea hata siku moja? Kwa kuwa mnatoka mkoa mmoja basi yeye ndiye wa maana?

Bado, si yeye si wewed, hamjajibu hoja zangu. Naona mnajaribu kufanya "character assassination" badala ya kujibu hoja.

Hata yeye, badala ya kujibu hoja zangu, kaanza na kujidai, wewe una ajenda.

Ajenda mimi ya nini na ajenda hapa imeshwekwa na mwehu anayehiita GENTAMYCINE

Punguwani wahed.
Wewe mpumbavu acha kujitanua kama kifutu. Usidhani kila mtu anatishwa na huo upumbavu wako wa udini. Mimi nakuona mshenzi usiye na adabu kwa mtu yeyote. Wewe bibi unaaibisha waliokulea. Tabia zako kama za kapurwa fulani wa mitaani. Charismatic fella GENTAMYCINE kaja na uzi mzuri ila usivyo na adabu unamuita mwehu. Acha ushenzi wewe bibi.
 
Hapo umesema ukweli wako, kuwa unakwenda kuzima moto ili upate kuligeuza tatizo kuwa fursa.

Hiyo kama unatembea kwenye "Resilience" ya mama Samia, sasa uje na Reforms.

Dah, kazi tunayo. Kwa kuzima moto tu hujambo na nnakupa maua yako.
Wewe unapenda ligi na mhe waziri ili umfanye aonekane incompetent kwakuwa siyo muislam Mwenzio🙏
 
Wewe mpumbavu acha kujitanua kama kifutu. Usidhani kila mtu anatishwa na huo upumbavu wako wa udini. Mimi nakuona mshenzi usiye na adabu kwa mtu yeyote. Wewe bibi unaaibisha waliokulea. Tabia zako kama za kapurwa fulani wa mitaani. Charismatic fella GENTAMYCINE kaja na uzi mzuri ila usivyo na adabu unamuita mwehu. Acha ushenzi wewe bibi.
Umeshindwa kujibu hoja unabwabwaja na kuhororoja na kubweka kama koko.

Jibu hoja wacha viroja.

Mapoyoyo mkishindwa hoja wote, mnakimbilia neno "udini".

Mnaogopa "udini"?
 
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea

2. Kisha amrjsha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo Kubwa ili kama kuna Watakaojitokeza basi wawe ni Watu Serious na siyo hawa Wahuni walioko

3. Kwa kila atakayejitokeza mlazimisheni awape Picha zake na mjua Makazi yake na taratibu zingine za Kiusalama dhidi yao zifanyike kama njia ya Kuwadhibjti.

4. Kuwe na Chama chao Beach Boys ambacho Kitatambulika nanyi Mamlaka na walazimishenj Wanachama wao (nikimaanisha Vijana wao Wanaofundisha Watu Kuogelea Baharini) wawe ni Watu very Professional na Ethical pia

5. Serikali (Mamlaka) iweke Matangazo katika Beach zote (tena yawe Makubwa) kuwa Mabinti / Wanawake ambao watafanyiwa Ukatili huo wapige Simu upesi kwa Mamlaka zenu ili Wahusika wakamatwe.

6. Himizeni kwa Beach Goers Wote hasa Wanawake / Mabinti kuwa kama wanataka Kufundishwa Kuogelea na Beach Boys basi wawachukue wale ambao ni qualified na kutoka sehemu husika.

7. Beach Boys wote watakaowepo iwe ni AMRI lazima wawe na Vitambulisho na Uniform ili irahisishe hata Kujulikana mapema wakifanya huu Uhuni wao.

8. Katika Beach zote wekeni Eneo Maalum (ndani ya Maji) la Watu Kufundishwa Kuogelea kwani moja ya Mbinu Kubwa itumikayo na hawa Wahuni (Beach Boys) ni kwenda na Wahusika katika Directions ambazo hakuna Watu Wengi na kwenye Kina Kirefu kisha wanafanya huo Uhuni wao.

9. Mkazo uwekwe zaidi kwa Watu Kujifunza Kuogelea katka Vituo Maalum au Shule za Uogeleaji (hasa Swimming Pools) ili basi wakiwa wanaenda Baharini wawe ni Wajuzi na siyo Watafuta kujua Kuogelea ambako hukutana na hawa Wahun

10. Tungeni Adhabu Kali na isiyo na Huruma dhidi yao ili Kulimaliza hili tatizo na kuleta Nidhamu katika hayo Maeneo husika (Beaches)

11. Ili Kuwakamata tumieni huu Mtego wa kuwatafuta Mabinti (Wanawake) Watatu tu ambao wanajua kweli Kuogelea au mkiweza Wachukueni wa pale Navy Kigamboni kisha Wapandikizeni katika kila Beach.

Wakiwa huko Wahimizeni wajifanye hawajui kabisa Kuogelea kisha wavalie Nguo za Kutamanisha na wawe Wanajibebjsha kwa hao Beach Boys.

Wakati mnapanga hili pia mnawapanga Watu (huku nchi Kavu) wakiwa na Camera za Ujasusi wanawachukua ili kuwa na Ushahidi very Vivid ambao hawataweza Kuruka.

Pia hakikisheni mnawatafuta Wavivu na Mitumbwi yao ili wakati mnazifanya hizi Oparesheni nao Wawe wanajifanya kama vile wako Baharini wanaendelea na Shughuli zao za Uvuvi.

Kisha hawa Mabinti / Wanawake ambao mtawapanga Wajirahisi kwa Beach Boys (ambao napendekeza lazima Wawe ni Wajuzi wa Kuogelea hasa) mtawaambia wakishaingia tu kwenye Maji na kupelekwa Maji Marefu na kuanza Kuombwa Ngono au kutaka Kubakwa upesi sana watoe Ishara kwa wale Wavivu mtakaowapanga watakaokuwa Eneo Jirani na kwa Askari wengine ambao mtakuwa mmewapanga huku nchi Kavu.

Mkishawakamata hawa Wachache watataja Mtandao wao Wote na Kutajana (huku mkiruhusu na Sisi Raia tuwatje Adabu kidogo kwa Vipigo vya kishalubela) pale pale Baharini ili kutoa Signal kwa Wenzao wengine kuwa sasa Serikali kwa Kushirikiana na Raia Wema (akina GENTAMYCINE) mmeamua / tumeamua Kuwadhibjti.

Na baada ya hapo tu mnaondoka nao kwenda Polisi ili kuanza taratibu zingine za Kisheria ila naomba Adhabu ya Viboko ama 6 au 12 isikosekane na Kifungo kirefu

12. Na katika Vijiwe vyao vyote hao Beach Boys huko Baharini baada ya Kuwasajili Kisheria kama nilivyoshauri hapo mwanzoni pia himizeni / lazimisheni kila Kijiwe kiwe na Utambulisho wa Namba na Jina Kubwa lililoandikwa

13. Ikiwapendeza himizeni / lazimisheni kila Binti / Mwanamke aendae Kuogelea Baharini aende na Pila / Tairi lake kutoka Kwao / Kwake kwani Wengi Wao wakati Mwingine hujikuta wanajngia Majaribuni hadi Kulalwa kwa Kukosa tu Vifaa hivi.

14. Tangazeni kabisa Binti / Mwanamke ambaye kwa Upumbavu na Uwoga wake bila kusahau Tamaa zake za Mwili akikubaliana na huu Uhuni wa hawa Wahuni Beach Boys na likampata la Kumpata asije Kulaumu Mtu au Serikali

15. Mwisho tengezeni Vipindi Maalum katika Redio na Television vya Kutoa Elimu na Kuonya juu ya Ukatii huu mkubwa huku mkihimiza kila Beach Goer (Mpenda kwenda Kutembea Baharini) awe ni Mlinzi wa Mwenzake pasipo kujali ni Ndugu yako au si Ndugu yako

Ni haya tu Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D nakuomba yafanyie Kazi yote na GENTAMYCINE nakuhakikishia hapa hapa JamiiForums kuwa Tatizo hili utalimaliza na Kuokoa wengi.

Nimekuheshimu sana kwakuwa navutiwa na Utendaji wako mzuri wa Ushirikishaji wa Wadau na nakuahidi kukupa Ushirikiano zaidi kwa Mambo / Masuala mengine ya Kijamii ukihitaji kwani 97% ya Maisha yangu ya kila Siku ni kuwa na Jamii na kuwa na Uwezo mkubwa wa Kuchunguza Jambo, Kulifuatilia, Kulijua, Kulirekodi katika Ubongo wangu, Kulikabili Kifikra na Kimatendo na kutoa Suluhisho la Dharula, la Kati na la Kudumu.

Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D tafadhali kama utakuwa na Zawadi yoyote ile Kwangu GENTAMYCINE (itakayokupendeza) kwa hiki nilichokuandikia hapa basi utakitangaza hapa hapa JamiiForums kisha utaipeleka katika Ofisi za JamiiForums Kawe Avocado na utampa JamiiForums Founder Mtani wangu wa Kihaya na Kaka Maxence Melo na yeye atajua wapi atanipata na Kuiwasilisha Kwangu kwa Niaba yako.

Na nikutoe Hofu Dada (Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D) hata kama hutonipa Zawadi yoyote ile bado nakuhakikishia nitaendelea kukupa Ushirikiano wangu mkubwa bila Kinyongo na Usununu.

Kila la Kheri Mheshimiwa

Tupo pamoja.

Akhsante.

Wako GENTAMYCINE Nahodha wa Kudumu wa wana JamiiForums wote duniani.
Hayo yote ya nini ,mwenye nia ya kuogelea si akaogelee tu kwenye swimming pools.
 
Umeshindwa kujibu hoja unabwabwaja na kuhororoja na kubweka kama koko.

Jibu hoja wacha viroja.

Mapoyoyo mkishindwa hoja wote, mnakimbilia neno "udini".

Mnaogopa "udini"?
Najua hizi comment zako ni za makusudi ili kukera watu. Ungekuwa una akili timamu ungeteuliwa kuwa waziri na sio huo upumbavu uliokujaa. Wewe ni bibi usiye na adabu hata kidogo.
 
Mbona kama Dr gwajima na Faiza foxy mnaanza kusutana

Ikiwapasa kwa hekima yenu mmoja wenu ampuuzie mwenzie ili tujue tunadili vipi na hawa wabakaji wanaobaka binti zetu
 
Siyo hiyo sasa, mpya kabisa. Hiyo nimeshaelimisha jamii wameelewa kisa mkasa. Ww huelewi, sasa nikufanyaje... Sina la kukufanya mm... [emoji847]

Na kwa kuwa kwenye system yoyote mambo ya dharura hayaishi , hata tukiwa safarini kwenye vyombo makini kabisa vya usafiri wa anga, huwa tunaambiwa viliko vifaa vya kujiokoa ikitokea dharura, na mm nasema hivi; ndugu wananchi, mifumo ipo inafanya kazi huko kwenye jamii kupitia sekta mbalimbali, lakini ikitokea dharura, msisite kupaza sauti, tupo tutakuja ku adjust system husika Ili ziendelee mbele. Haya maoni haya hayatutoa kwenye mstari.... 🤝

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Yeah hata fire extinguisher zipo, siku hizi ni automatic.

Mara ipo mpya kabisa, mara ile ile inafanyiwa marekebisho, mara tumei extend ya zamani mpaka November. Halafu unatarajia nikuelewe? Unanchekesha.

Hapo sikuelewi hata useme nini, mpaka niione. Au "ipo mpya" mwaka 2025?

Wacha porojo za kisiasa, hapa siyo bungeni.

Reform.
 
Yeah hata fire extinguisher zipo, siku hizi ni automatic.

Mara ipo mpya kabisa, mara ile ile inafanyiwa marekebisho, mara tumei extend ya zamani mpaka November. Halafu unatarajia nikuelewe? Unanchekesha.

Hapo sikuelewi hata useme nini, mpaka niione. Au "ipo mpya" mwaka 2025?

Wacha porojo za kisiasa, hapa siyo bungeni.

Reform.
Duh....dada yangu mmbishi naona ligi
Inaendelea

Ova
 
Jiheshimu wewe bibi. Kaunde serikali yako uifanyie reform. Waziri Gwajima ni mchapakazi na ni mfano wa kuigwa. Narudia tena JIHESHIMU BIBI. ACHA KUOTA MAPEMBE
Ubaguzi wa dini unamsumbua huyu Mama.
Chuki bila sababu ..dini ukiendekeza sana unakuwa mwehu.,ndio huyu mama alivyo.

Wakati Dr Gwajima ndiye kiongozi aliyejiweka wazi na id halisi na anawasikiliza watz..
Jambo ambalo hata kipenzi chake ameshindwa kulifanya.,yupo amejificha kwenye kichaka cha ID feki.
 
Duh....dada yangu mmbishi naona ligi
Inaendelea

Ova
Aseme ukweli, wadhifa wake hatakiwi kupiga porojo mitandaoni.

Kama ipo plan, aitiwe tuione.

Mbona alinambia ipo nikaitapakuwa mtandaoni, ikaisoma, nikakuta imepitwa na wakati.

Haya kuomba msamaha kwa kunipa wrong information kashindwa, kabaki sasa anapiga porojo tu.


Yeye aliri tu, hawana plan ya bali wanafanhya kazi kwastaili ya zima moto.

Kwani mtu akiwa mkweli na kukiri kuna tatizo lipi?
 
Ubaguzi wa dini unamsumbua huyu Mama.
Chuki bila sababu ..dini ukiendekeza sana unakuwa mwehu.,ndio huyu mama alivyo.

Wakati Dr Gwajima ndiye kiongozi aliyejiweka wazi na id halisi na anawasikiliza watz..
Jambo ambalo hata kipenzi chake ameshindwa kulifanya.,yupo amejificha kwenye kichaka cha ID feki.
Ndiyo upeo wenu ulipoishia, kama nyinyi hamna dini mnataka kila mtu asiwe na dini?

Mimi najivunia sana kuwa Muislam. AlhamduliLlah.
 
Hio mada yako Haina mashiko lete mada za.maana zinazoleta tija kwa jamii na nchi kuna umuhimu gani wa kwenda kuogelea huko baharini serikali kuna Kodi wanazopata huko? Au watu wakienda kuogelea wanalipa leseni halimashauri?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama wewe huogelei unapita tu kushoto Mkuu.
Usilete makasiriko.,mada zipo nyingi.
Ama waweza kujitoa uanzishe yako unayoona ina mashiko.


Wewe kutokuogelea haimaanishi kila mtu asiogelee,na haimaanishi si jambo muhimu.


Binafsi yangu kuogelea sijui na wala sina mpango wa kujua,sina mpango wa kwenda huko beach.lakini hii haizuii wengine wasiende,na kama kuna changamoto lazima zitatuliwe.
 
Inatakiwa uwe na mikakati kwanza kabisa.

Naona unatakajitahidi kuuhamisha mjadala. Endelea kufanya jihad.
Sihamishi mjadala.
Viashiria ndio mara nyingi huchochea mikakati.
 
Ndiyo upeo wenu ulipoishia, kama nyinyi hamna dini mnataka kila mtu asiwe na dini?

Mimi najivunia sana kuwa Muislam. AlhamduliLlah.
Kwani ukiwa Muislam ndio unakuwa mjinga kiasi hiki?
Siamini
 
Back
Top Bottom