DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea

2. Kisha amrjsha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo Kubwa ili kama kuna Watakaojitokeza basi wawe ni Watu Serious na siyo hawa Wahuni walioko

3. Kwa kila atakayejitokeza mlazimisheni awape Picha zake na mjua Makazi yake na taratibu zingine za Kiusalama dhidi yao zifanyike kama njia ya Kuwadhibjti.

4. Kuwe na Chama chao Beach Boys ambacho Kitatambulika nanyi Mamlaka na walazimishenj Wanachama wao (nikimaanisha Vijana wao Wanaofundisha Watu Kuogelea Baharini) wawe ni Watu very Professional na Ethical pia

5. Serikali (Mamlaka) iweke Matangazo katika Beach zote (tena yawe Makubwa) kuwa Mabinti / Wanawake ambao watafanyiwa Ukatili huo wapige Simu upesi kwa Mamlaka zenu ili Wahusika wakamatwe.

6. Himizeni kwa Beach Goers Wote hasa Wanawake / Mabinti kuwa kama wanataka Kufundishwa Kuogelea na Beach Boys basi wawachukue wale ambao ni qualified na kutoka sehemu husika.

7. Beach Boys wote watakaowepo iwe ni AMRI lazima wawe na Vitambulisho na Uniform ili irahisishe hata Kujulikana mapema wakifanya huu Uhuni wao.

8. Katika Beach zote wekeni Eneo Maalum (ndani ya Maji) la Watu Kufundishwa Kuogelea kwani moja ya Mbinu Kubwa itumikayo na hawa Wahuni (Beach Boys) ni kwenda na Wahusika katika Directions ambazo hakuna Watu Wengi na kwenye Kina Kirefu kisha wanafanya huo Uhuni wao.

9. Mkazo uwekwe zaidi kwa Watu Kujifunza Kuogelea katka Vituo Maalum au Shule za Uogeleaji (hasa Swimming Pools) ili basi wakiwa wanaenda Baharini wawe ni Wajuzi na siyo Watafuta kujua Kuogelea ambako hukutana na hawa Wahun

10. Tungeni Adhabu Kali na isiyo na Huruma dhidi yao ili Kulimaliza hili tatizo na kuleta Nidhamu katika hayo Maeneo husika (Beaches)

11. Ili Kuwakamata tumieni huu Mtego wa kuwatafuta Mabinti (Wanawake) Watatu tu ambao wanajua kweli Kuogelea au mkiweza Wachukueni wa pale Navy Kigamboni kisha Wapandikizeni katika kila Beach.

Wakiwa huko Wahimizeni wajifanye hawajui kabisa Kuogelea kisha wavalie Nguo za Kutamanisha na wawe Wanajibebjsha kwa hao Beach Boys.

Wakati mnapanga hili pia mnawapanga Watu (huku nchi Kavu) wakiwa na Camera za Ujasusi wanawachukua ili kuwa na Ushahidi very Vivid ambao hawataweza Kuruka.

Pia hakikisheni mnawatafuta Wavivu na Mitumbwi yao ili wakati mnazifanya hizi Oparesheni nao Wawe wanajifanya kama vile wako Baharini wanaendelea na Shughuli zao za Uvuvi.

Kisha hawa Mabinti / Wanawake ambao mtawapanga Wajirahisi kwa Beach Boys (ambao napendekeza lazima Wawe ni Wajuzi wa Kuogelea hasa) mtawaambia wakishaingia tu kwenye Maji na kupelekwa Maji Marefu na kuanza Kuombwa Ngono au kutaka Kubakwa upesi sana watoe Ishara kwa wale Wavivu mtakaowapanga watakaokuwa Eneo Jirani na kwa Askari wengine ambao mtakuwa mmewapanga huku nchi Kavu.

Mkishawakamata hawa Wachache watataja Mtandao wao Wote na Kutajana (huku mkiruhusu na Sisi Raia tuwatje Adabu kidogo kwa Vipigo vya kishalubela) pale pale Baharini ili kutoa Signal kwa Wenzao wengine kuwa sasa Serikali kwa Kushirikiana na Raia Wema (akina GENTAMYCINE) mmeamua / tumeamua Kuwadhibjti.

Na baada ya hapo tu mnaondoka nao kwenda Polisi ili kuanza taratibu zingine za Kisheria ila naomba Adhabu ya Viboko ama 6 au 12 isikosekane na Kifungo kirefu

12. Na katika Vijiwe vyao vyote hao Beach Boys huko Baharini baada ya Kuwasajili Kisheria kama nilivyoshauri hapo mwanzoni pia himizeni / lazimisheni kila Kijiwe kiwe na Utambulisho wa Namba na Jina Kubwa lililoandikwa

13. Ikiwapendeza himizeni / lazimisheni kila Binti / Mwanamke aendae Kuogelea Baharini aende na Pila / Tairi lake kutoka Kwao / Kwake kwani Wengi Wao wakati Mwingine hujikuta wanajngia Majaribuni hadi Kulalwa kwa Kukosa tu Vifaa hivi.

14. Tangazeni kabisa Binti / Mwanamke ambaye kwa Upumbavu na Uwoga wake bila kusahau Tamaa zake za Mwili akikubaliana na huu Uhuni wa hawa Wahuni Beach Boys na likampata la Kumpata asije Kulaumu Mtu au Serikali

15. Mwisho tengezeni Vipindi Maalum katika Redio na Television vya Kutoa Elimu na Kuonya juu ya Ukatii huu mkubwa huku mkihimiza kila Beach Goer (Mpenda kwenda Kutembea Baharini) awe ni Mlinzi wa Mwenzake pasipo kujali ni Ndugu yako au si Ndugu yako

Ni haya tu Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D nakuomba yafanyie Kazi yote na GENTAMYCINE nakuhakikishia hapa hapa JamiiForums kuwa Tatizo hili utalimaliza na Kuokoa wengi.

Nimekuheshimu sana kwakuwa navutiwa na Utendaji wako mzuri wa Ushirikishaji wa Wadau na nakuahidi kukupa Ushirikiano zaidi kwa Mambo / Masuala mengine ya Kijamii ukihitaji kwani 97% ya Maisha yangu ya kila Siku ni kuwa na Jamii na kuwa na Uwezo mkubwa wa Kuchunguza Jambo, Kulifuatilia, Kulijua, Kulirekodi katika Ubongo wangu, Kulikabili Kifikra na Kimatendo na kutoa Suluhisho la Dharula, la Kati na la Kudumu.

Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D tafadhali kama utakuwa na Zawadi yoyote ile Kwangu GENTAMYCINE (itakayokupendeza) kwa hiki nilichokuandikia hapa basi utakitangaza hapa hapa JamiiForums kisha utaipeleka katika Ofisi za JamiiForums Kawe Avocado na utampa JamiiForums Founder Mtani wangu wa Kihaya na Kaka Maxence Melo na yeye atajua wapi atanipata na Kuiwasilisha Kwangu kwa Niaba yako.

Na nikutoe Hofu Dada (Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D) hata kama hutonipa Zawadi yoyote ile bado nakuhakikishia nitaendelea kukupa Ushirikiano wangu mkubwa bila Kinyongo na Usununu.

Kila la Kheri Mheshimiwa

Tupo pamoja.

Akhsante.

Wako GENTAMYCINE Nahodha wa Kudumu wa wana JamiiForums wote duniani.
Kuna jamaa aliwahi kusema anatamani kujitoa mhanga pale bungeni asepe na kijiji cha wajinga
 
kwako.....................serikali haina dini
Serikali mbona inajulikana kuwa ni secular, haifati mfumo wa dini yoyote. Lakini wapo wenye dini zao serikalini.

Hapa tupo Uraiani, au Uraini haturuhusiwi kujivunia dini zetu na kuamrishana mema yake na kukatazana maovu?
 
Serikali mbona inajulikana kuwa ni secular, haifati mfumo wa dini yoyote. Lakini wapo wenye dini zao serikalini.

Hapa tupo Uraiani, au Uraini haturuhusiwi kujivunia dini zetu na kuamrishana mema yake na kukatazana maovu?
unajijua tabia zako
 
Aseme ukweli, wadhifa wake hatakiwi kupiga porojo mitandaoni.

Kama ipo plan, aitiwe tuione.

Mbona alinambia ipo nikaitapakuwa mtandaoni, ikaisoma, nikakuta imepitwa na wakati.

Haya kuomba msamaha kwa kunipa wrong information kashindwa, kabaki sasa anapiga porojo tu.


Yeye aliri tu, hawana plan ya bali wanafanhya kazi kwastaili ya zima moto.

Kwani mtu akiwa mkweli na kukiri kuna tatizo lipi?
Wewe mwenyewe una plan gani kwenye maisha yako zaidi ya roho mbaya?
 
Wewe kibibi ni muda sasa wa kwenda kulaza wajukuu ili wawahi shule asubuhi . Acha kutafuta umaarufu kupitia kwa Waziri !

1698174628678.png



Hivyo ndiyo kwetu tunaviita vibibi. Kimoja kibibi.
 
Ndiyo upeo wenu ulipoishia, kama nyinyi hamna dini mnataka kila mtu asiwe na dini?

Mimi najivunia sana kuwa Muislam. AlhamduliLlah.
Tatizo wala sio uislamu. Tatizo ni wewe kuwa na chuki kali dhidi ya wakristo. Unatamani sana ajenda yako ya kigaidi ichukue nafasi ila bahati mbaya upo kwenye nchi ambayo watu kama wewe huwa mnazimwa fasta.
 
Tatizo wala sio uislamu. Tatizo ni wewe kuwa na chuki kali dhidi ya wakristo. Unatamani sana ajenda yako ya kigaidi ichukue nafasi ila bahati mbaya upo kwenye nchi ambayo watu kama wewe huwa mnazimwa fasta.
unaona tatizo lako hilo, niwekee ushahidi chuki yangu kwa Wakristo iko wapi?

JF hakifutwi kitu hapa.

Sema nyinyi mkishindwa mnakimbilia "mdini" "udini" "dini". Hamna opeo wa kujibu hoja.

Mimi Muislam, najivunia Uislam wangu, nakuoenda wewe ukiwa Mkristo kwa sababu ntakulingania mema ya Uislam.


Wewe unaogopa kuwa mkristo?
 
unaona tatizo lako hilo, niwekee ushahidi chuki yangu kwa Wakristo iko wapi?

JF hakifutwi kitu hapa.

Sema nyinyi mkishindwa mnakimbilia "mdini" "udini" "dini". Hamna opeo wa kujibu hoja.

Mimi Muislam, najivunia Uislam wangu, nakuoenda wewe ukiwa Mkristo kwa sababu ntakulingania mema ya Uislam.


Wewe unaogopa kuwa mkristo?
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Baada ya kila mtu kusema umejaa udini ndo unaanza kujikana? Waislamu wengi tunaishi nao kwa amani kabisa ila wewe mpuuzi usiye na adabu ndo una kiherehere hapa mtandaoni cha kujifanya gaidi chipukizi.
 
Wewe kahaba wa enzi za TANU bora ukalale
Sasa ukahaba mbona hata kwenye biblia umetajwa, haujaanzia TANU. Upo kabla ya yesu.

Tena biblia ukiisoma raha sana, maana kuna kisa mule kuna kahaba anaitwa Tamari (unajuwa Tamari kwa Kiswahili ni nini?

Huyo Tamari alinishinda ukahaba kwa nilivyokisomakisa chake ndani ya Biblia, ana vituko na ana akili sana, na yeye yupo katika vizazi vya Yesu.

Apewe maua yake.
 
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Baada ya kila mtu kusema umejaa udini ndo unaanza kujikana? Waislamu wengi tunaishi nao kwa amani kabisa ila wewe mpuuzi usiye na adabu ndo una kiherehere hapa mtandaoni cha kujifanya gaidi chipukizi.
Umeshindwa kuonesha hiyo chuki yangu kwa anayejita mkristo iko wapi, unaanza kubwabwaja bila mpango.

Najivunia Uislam wangu, hivi unaota unaposema najikana? Unantazama kwa uoga?

Mimi ni Muislam na nnajivunia Uislam wangu, na hakuna cha kunizuwia kuwa Muislam.

Wewe kama huna dini, kazi ni kwako.

Karibu sana kwenye Uislam, Uislam ni mwema sana.

Ma shaa Allah hata Rais wetu ni mama wa Kiislam, mwema kabisa.
 
Back
Top Bottom