Waziri Dkt. Nchemba azungumza na Kamishna Jenerali wa DCEA Aretas Lyimo

Waziri Dkt. Nchemba azungumza na Kamishna Jenerali wa DCEA Aretas Lyimo

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
DODOMA-Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Aretas Lyimo, ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya Mamlaka hiyo, katika Ofisi ya Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.

Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Kamishna Msaidizi wa Idara ya Usimamizi wa Bajeti, Bw. Andambike Mololo wa Wizara hiyo, Kamishna wa Utawala DCEA, Shaaban Khatib Baraza na Kamishna Msaidizi Mipango na Bajeti DCEA, Lusajo Gilbert .
1000910455.jpg
1000910453.jpg
1000910457.jpg
1000910454.jpg
1000910456.jpg
 
DODOMA-Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Aretas Lyimo, ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya Mamlaka hiyo, katika Ofisi ya Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.

Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Kamishna Msaidizi wa Idara ya Usimamizi wa Bajeti, Bw. Andambike Mololo wa Wizara hiyo, Kamishna wa Utawala DCEA, Shaaban Khatib Baraza na Kamishna Msaidizi Mipango na Bajeti DCEA, Lusajo Gilbert .
View attachment 3148658View attachment 3148659View attachment 3148660View attachment 3148661View attachment 3148662
Taarifa hii ilitakiwa itolewe na Lucas Mwashambwa na si mtu mwingine.
 
Kwani Ipo chini ya wizara yake au ashakuwa waziri mkuu?
 
Back
Top Bottom