Waziri Dkt. Ndumbaro: Tamasha la Kabila la Wamatengo Kufanyika Kila Mwaka

Waziri Dkt. Ndumbaro: Tamasha la Kabila la Wamatengo Kufanyika Kila Mwaka

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WAZIRI DKT. NDUMBARO: TAMASHA LA KABILA LA WAMATENGO KUFANYIKA KILA MWAKA

Tamasha la Utamaduni wa kabila la Wamatengo Mkoani Ruvuma litafanyika kila mwaka ili kutangaza utamaduni wa kabila hilo na Mkoa wa Ruvuma ndani na nje ya Tanzania.

Hayo yameelezwa Oktoba 30, 2023 na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akifungua tamasha hilo katika kijiji cha Makumbusho Mtama Wilayani Mbinga.

"Matamasha haya yanatangaza Utamaduni, Mila na Desturi zetu watanzania, tamasha hili lifanyike kila mwaka ili kukumbushana maisha yetu ya asili, na nitoe rai kwa makabila mengine kuwa na Matamasha kama haya katika maeneo yao" amesema Mhe. Ndumbaro.

Tamasha hilo lilishereheshwa na burudani mbalimbali na kupambwa na maonesho ya tamaduni zenye asili ya kabila hilo.
 

Attachments

  • F9vws7HXoAA2vbd.jpg
    F9vws7HXoAA2vbd.jpg
    198.8 KB · Views: 5
  • F9vwtnhXkAA_Yez.jpg
    F9vwtnhXkAA_Yez.jpg
    184.8 KB · Views: 6
  • F9vwuQ3XAAATT-e.jpg
    F9vwuQ3XAAATT-e.jpg
    252.6 KB · Views: 7
  • F9vwvDDWEAAAXdx.jpg
    F9vwvDDWEAAAXdx.jpg
    221 KB · Views: 5
Tamasha la Utamaduni wa kabila la Wamatengo Mkoani Ruvuma litafanyika kila mwaka ili kutangaza utamaduni wa kabila hilo na Mkoa wa Ruvuma ndani na nje ya Tanzania.

Hayo yameelezwa Oktoba 30, 2023 na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akifungua tamasha hilo katika kijiji cha Makumbusho Mtama Wilayani Mbinga.

"Matamasha haya yanatangaza Utamaduni, Mila na Desturi zetu watanzania, tamasha hili lifanyike kila mwaka ili kukumbushana maisha yetu ya asili, na nitoe rai kwa makabila mengine kuwa na Matamasha kama haya katika maeneo yao" amesema Mhe. Ndumbaro.

Tamasha hilo lilishereheshwa na burudani mbalimbali na kupambwa na maonesho ya tamaduni zenye asili ya kabila hilo.
IMG-20231031-WA0016.jpg
IMG-20231031-WA0014.jpg
IMG-20231031-WA0018.jpg
IMG-20231031-WA0015.jpg
IMG-20231031-WA0013.jpg
IMG-20231031-WA0017.jpg
 
"Matamasha haya yanatangaza Utamaduni, Mila na Desturi zetu watanzania, tamasha hili lifanyike kila mwaka ili kukumbushana maisha yetu ya asili, na nitoe rai kwa makabila mengine kuwa na Matamasha kama haya katika maeneo yao" amesema Mhe. Ndumbaro.
 

WAZIRI DKT. NDUMBARO: TAMASHA LA KABILA LA WAMATENGO KUFANYIKA KILA MWAKA

Tamasha la Utamaduni wa kabila la Wamatengo Mkoani Ruvuma litafanyika kila mwaka ili kutangaza utamaduni wa kabila hilo na Mkoa wa Ruvuma ndani na nje ya Tanzania.

Hayo yameelezwa Oktoba 30, 2023 na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akifungua tamasha hilo katika kijiji cha Makumbusho Mtama Wilayani Mbinga.

"Matamasha haya yanatangaza Utamaduni, Mila na Desturi zetu watanzania, tamasha hili lifanyike kila mwaka ili kukumbushana maisha yetu ya asili, na nitoe rai kwa makabila mengine kuwa na Matamasha kama haya katika maeneo yao" amesema Mhe. Ndumbaro.

Tamasha hilo lilishereheshwa na burudani mbalimbali na kupambwa na maonesho ya tamaduni zenye asili ya kabila hilo.
WAchagga wakifanya utaskia "wakabila wale", wabaguzi.
 
Back
Top Bottom