Waziri Faustine Ndugulile atunukiwa Tuzo ya umahiri na Wizara ya Afya

💯%💪🇹🇿👍
"Only Stupid People Don't Change Their Minds"..😷😷.. Boutros Boutros-Ghali
Former Secretary-General of the United Nations
 
Mkuu hiyo ni inhalation kweli au ni steam therapy? Au mimi ndiye nachanganya madesa?
 
haha
 
Kama wizara imemtunuku cheti maana yake wanakubaliana na maneno ya Askofu Gwajima.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Joke of the century
 
which health promotion services... ngoja Magfuli aje mtamueleza mmempa kwa vigezo vipi wakati yeye alimfukuza huko wizarani
Lakini huyo Magufuli ndo alimuwezesha kushinda kura za maoni Kigamboni. Bila Jiwe Bashite the witch angechukuwa jimbo
 
Pamoja na yote hayo mimi nitashangaa sana kama uteuzi wa Dk Dorothy utatenguliwa, ... Dk Dorothy ameimudu wizara ipaswavyo kwenye kipindi cha hii CRISIS!

Kwa kutukana wanaopinga chanjo na kusema ni wahuni wanaolipwa kuipinga. Na naibu wake kuwaita wapumbafu na wajinga. Mtangaze wenyewe kuwa chanjo ni hiari. Wakitokea wanao chagua hiari ya kuto kuchanja ni wahuni wanaolipwa kupinga chanjo, wapumbavu na wajinga. Ila wale wanaochanjwa kwa mashinikizo ndio waerevu na wenye akili. Mungu wa Mbinguni ni wa haki yote siku zote, hatanyamaza atafanya kitu maada anaishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…