#COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Mkuki kwa Chadema tu; kwa mwana-CCM la hasha. Akamatwe. Ni mchochezi.
 
mzigo unakaribia expiry date nn, mbona wamechanganyikiwa,,kuna Mangi fulani hua maziwa yake yakifika expiry date ana tabia ya kuzuga zuga,na kumbambikia mteja,usiposhtuka imekula kwako,serikali inataka kufanana na huyu mangi
 
Sura ya huyu mama inadhihirisha kilichopo ndani ya mwili wake,
ROHO MBAYA
ASIYEKUBALI KUSHINDWA
SHOW OFF
MAJIVUNO
N.K.

Kama kwel Askofu ni shemeji yake basi akubali pia kutengwa na upande wa mume wake.
 
Hilo lichizi likamatwe tu
 
Huyu waziri na naibu wake bora wafunge midomo yao tu wanatufanya sisi mazuzu kiasi tumepoteza uwezo si wa kuskia na kuona hata kunusa pia.

Hivi Hawa wananaga hata mshipa wa aibu kidogo?
 
Ngwajima ameagiza Gwajima akamatwe😝😝😝😝

Hawa watu wenye majina hayo bana inbidi tuwapime akili
 
Wewe Mzee wa MAMA ANAUPIGA MWINGI,hebu walau mjibu hoja za gwajiboy si kuleta udictator uchwara hapa
 
Kwa hiyo hapo kwenye maneno ya mchungaji Gwajima kuna rushwa ya kuchunguza? hahahaha
Wao wanaamini gwajima kapewa rushwa apotoshe ila wao gwajima akisema wanaita polisi na Takukuru
 
Gwajima hana maadili na huo uasikofu wake ni utapeli tu,nashangaa Sana Kuna watu Bado wanamuamini Askofu tapeli.Yeye taaluma ya udaktari wa binadamu hana eti ndo anapinga chanjo ya korona kwa fake facts .Ina maana Gwajima ndo ana akili kuliko wanasayansi wote duniani aache uhuni wake.
 
Inashangaza mtu 1 anaeongea kwa wiki x1 anawashinda watu wote serikal mnaoongea kila siku?? Hv hi Ni akili kwel?? Hoja hukibiwa kwa hoja Kama anapotosha waweke ukwel fulstop, wasipofanya hvyo wao mdo wanapotosha...
 
Una mzungumzia gwajima yupi?Yule wafuasi na viongozi wa Chadema walokua wanakesha na kusali kwake huku wakiburudika na mahubiri yake au yupi?
 
Kaa kimya wewe huelewi!
 
Inashangaza mtu 1 anaeongea kwa wiki x1 anawashinda watu wote serikal mnaoongea kila siku?? Hv hi Ni akili kwel?? Hoja hukibiwa kwa hoja Kama anapotosha waweke ukwel fulstop, wasipofanya hvyo wao mdo wanapotosha...
Sukumiza ndani Gwajima, mengine yatajulikana mbele ya safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…