Waziri Gwajima: Alichofanyiwa binti wa Yombo ni kitendo kibaya kisicho na utu, nimewasiliana na Waziri wa Mambo ya Ndani ili haki itendeke

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141


Ameandika Dkt. Gwajima D katika Mtandao wa X.

Ndugu Wananchi, nimepokea 'Tags' nyingi za maoni na maswali kuhusu taarifa iliyotolewa na RPC mkoa wa Dodoma juu ya mwenendo wa shauri la 'Binti wa Yombo' (reja taarifa za awali).

Ndugu Wananchi, nimepokea hisia zenu, maoni na maswali yenu ambayo mmeelekeza kwangu. Nimewasiliana na Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye tayari naye amepokea na anafanyia kazi hivyo, tumpe nafasi atatoa taarifa yake.

Ndugu Wananchi, ni dhahiri kuwa, alichofanyiwa 'Binti wa Yombo' ni kitu kibaya kisicho cha utu hivyo, anastahili haki yake kwa mapana yote.

Ndugu Wananchi, Nawasihi tujipe muda na kuamini kuwa, haki itatendeka kwa mujibu wa sheria na itaonekana bayana na siyo vinginevyo.

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

 
ila polisi wanazidi kujiondolea imani kwa wananchi watu wanaongea kabsa katembea na mume wa mtu ndo wamemfanyia vile ahalafu wanasema alikua anajiuza sawa n kweli alikua anajiuza ila chanzo cha kumfanyia hvo ni nn...? je kulawiti mtu sio kosa kisheria sku hz au..?🤣
 
Amrfanywaje ?
Police wamethibitisha kuwa alikuwa anajiuza
Wewe unawazidi wenye taaluma Yao
Kupigwa mande na masela ndo hiyo
Hiyo inaitwa rough sex ni kama ka ubabe kiaina
 
Juzi nilikuwa home na mabinti zangu wawili nikawa namuulize yule mkubwa ukiwa mkubwa unataka kufanya kazi gani ? Kale kadogo kakaitikia chap me nataka kuwa polichi aseee nilikasirika sana hii kazi hata bure bora nikaokote makopo sio kufanya kazi ya laana ya polisi tz .
 
Waziri Dr Gwajima safi sana na Mungu atakubariki.
 
Mdogo wangu nilimnyima pesa ya kuprint vyeti wakati anataka kuomba kazi na sikumpa ushirikiano kabisa.

Sikumwambia kwanini nilimzungusha mpaka dead line ikaisha.

Nikakausha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…