#COVID19 Waziri Gwajima amteua Steve Nyerere kuwa Balozi wa Uviko-19

Huku hamisa mobeto anatupa Elimu juu ya Tozo na kodi za kipuuzi huku Steve Nyerere anatupa nondo za Chanjo ya Uviko-19. Tanzania Hoye. Hili sio shamba la bibi tena bali ni Kichwa cha Mwendawazimu.
 
bila shaka atalipwa na wahisani waliotupatia hizi kinga na sio fedha zetu za ndani
 
CTV yeye ukatibu walipishana

Yeye ni uenyekiti tu

Mdogowake askofu gwajima mkewe waziri walikutana wapi kwenye matibabu mmoja kutibiwa au semina
 
Mbona sijaona mwenye baracoa hata mmoja? corona na wasani Wapi na Wapi, Gwajima kakosa Madoctor wa kuelimisha watu Kweli?kuishi kwingi ni kuona mengi
 
Tanzania kwa sasa ina viongozi wa kuungaunga hapa ndo nakumbuka Mwl Nyerere kwamba alikuwa timamu kwelikweli kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…