#COVID19 Waziri Gwajima amteua Steve Nyerere kuwa Balozi wa Uviko-19

Tanzania nchi ya ajabu.kisa kalumbana na Polepole.
 
Hivi Steve usanii wake ni upi au ndio kuigiza sauti ya Mwalimu Nyerere? au ana usanii mwingine wakuu,
 

Wanalipwa mshahara Tsh ngapi kwa Mwezi?
 
Magaidi watapinga
Watoto wa masimbe wataunga mkono na kufurahi!!! Hahaaaahaaa je!? Huyo steve akiuluzwa swali kuhusu korona ana elimu ya kutoa!?? Hii nchi ya wapumbavu na watoto wa masimbe like you!?
 
Hatimaye
 
Bango kubwa kabisa limeandikwa NDIO

Hivi hapakuwepo mswahili hata mmoja akagundua kuwa inapaswa kuandikwa NDIYO maana hao wote ni waingereza
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatimae steve kakumbukwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…