upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia,wanawake na makundi maalum Doroth Gwajima amesema kuwa serikali inampango wa kuifanya siku ya wanaume duniani 19 november kuwa rasmi kwa maadhimisho ya siku hiyo.
Dkt Gwajima ameyasema hayo mkoani Geita katika kongamano la kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani ambapo kanda ya ziwa yamefanyika wilayani Bukombe ikihusisha mikoa sita katika kanda hii.
Gwajima alesema kuwa kutokana na wanaume kuwepo kwenye sera ya ushirikishwaji ili waweze kuelewa lengo la ushirikishwaji wa mwanamke katika ngazi ya kiuchumi kupitia siku ya wanaume sasa wataelewa namna ya kumuwezesha mwanamke.
Soma, Pia: Singida kusherehekea siku ya wanawake duniani kwa kugawa mitungi ya gesi
Kongamano la wanawake wa kanda ya ziwa linalenga kumuinua mwanamke kiuchumi huku riba kubwa katika mikopo ikitajwa kuwa janga kubwa ambalo linamdidimiza mwanamke na kushindwa kuendelea kiuchumi.
Aidha katika hatua nyingine wanawake wamelipokea suala hilo la maadhimisho ya sikuya mwanaume kitaifa ambapo wamelitafsiri kama kuja kuwa njia bora ya kutoa elimu kwa wanaume juu ya ukatili dhidi ya mwanamke na kumuwezesha mwanamke
Dkt Gwajima ameyasema hayo mkoani Geita katika kongamano la kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani ambapo kanda ya ziwa yamefanyika wilayani Bukombe ikihusisha mikoa sita katika kanda hii.
Gwajima alesema kuwa kutokana na wanaume kuwepo kwenye sera ya ushirikishwaji ili waweze kuelewa lengo la ushirikishwaji wa mwanamke katika ngazi ya kiuchumi kupitia siku ya wanaume sasa wataelewa namna ya kumuwezesha mwanamke.
Soma, Pia: Singida kusherehekea siku ya wanawake duniani kwa kugawa mitungi ya gesi
Kongamano la wanawake wa kanda ya ziwa linalenga kumuinua mwanamke kiuchumi huku riba kubwa katika mikopo ikitajwa kuwa janga kubwa ambalo linamdidimiza mwanamke na kushindwa kuendelea kiuchumi.
Aidha katika hatua nyingine wanawake wamelipokea suala hilo la maadhimisho ya sikuya mwanaume kitaifa ambapo wamelitafsiri kama kuja kuwa njia bora ya kutoa elimu kwa wanaume juu ya ukatili dhidi ya mwanamke na kumuwezesha mwanamke