#COVID19 Waziri Gwajima: Elimu kuhusu Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Kirusi kinabadilika badilika siyo kama mwanzo!

#COVID19 Waziri Gwajima: Elimu kuhusu Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Kirusi kinabadilika badilika siyo kama mwanzo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema wagonjwa wa Corona wanaongezeka hivyo wananchi wachukue tahadhari.

Kwa sasa elimu ya kupambana na Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sababu kirusi kinabadilika badilika na sisi tunabadili style ya kukikabili kwani Wizara ina mambo mengi sana ya kufanya.

Chanzo: ITV habari!
 
Wizara ina mambo mengi ya kufanya, watu wanakufa, hivi wakiteketea watu 1,000,000/ hayo Mambo mengine yatakuwa yamewasaidia Nini? Nchi bila watu sio nchi Tena.

Chama Cha Mazezeta jirekebisheni na kauli zenu
 
Yeye na naibu wake wakati wanatoa demo ya malimau,tangawizi nk wizara haikuwa na mambo mengi,
Watu wa vetting kuna wakati mnatuonea sana.

Bungeni wakati wakupitisha bajeti nilimuona akicheza kama yupo kitchen party akimwekea hela mwigulu usoni"BUNGE TUKUFU"
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ashukuru Mungu. Magufuli angekuwa hai mpaka sasa ungekuta ameshakuwa kichaa. Siyo kwa vituko alivyokuwa anafanya. Aliigiza kama kichaa kabisa. Mimi sikuamini ni mama mwenye akili sawa.
Hahaha hivi unamuona ni mzima?
 
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema wagonjwa wa Corona wanaongezeka hivyo wananchi wachukue tahadhari.

Kwa sasa elimu ya kupambana na Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sababu kirusi kinabadilika badilika na sisi tunabadili style ya kukikabili kwani Wizara ina mambo mengi sana ya kufanya.

Chanzo: ITV habari!
Kwamba wizara ya afya ina mambo mengi kiasi cha kutopata muda wa kutoa elimu kuhusu ugonjwa wa Corona, afya maana yake ni nini?
Bora angenyamaza kuliko huu utopolo
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ashukuru Mungu. Magufuli angekuwa hai mpaka sasa ungekuta ameshakuwa kichaa. Siyo kwa vituko alivyokuwa anafanya. Aliigiza kama kichaa kabisa. Mimi sikuamini ni mama mwenye akili sawa.
Na naibu wake wana match sana kwa vituko
 
RCs wanatosha bwashee!
Kati ya RCs na wizara ni Nani ana majukumu mengi? Jibu ni RCs anabeba majukumu yote ya kiwizara na kimuundo Kwa ngazi ya Mkoa, tafsiri nyepesi kila wizara RCs wanashughulika nayo Kwa ngazi hiyo
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ashukuru Mungu. Magufuli angekuwa hai mpaka sasa ungekuta ameshakuwa kichaa. Siyo kwa vituko alivyokuwa anafanya. Aliigiza kama kichaa kabisa. Mimi sikuamini ni mama mwenye akili sawa.
Mwendawazimu alishamuambikiza tayari.
na sisi hatumuopoi Ng’o😂😂
 
Aisee kwa hiyo lile kabati la mvuke pale Muhimbili limeondolewa??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom