Kufuatia kufunguliwa kwa shule, waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu amekemea vikali tabia ya BAADHI ya Wazazi na BAADHI ya Walimu kupiga watoto kupita kiasi BILA KUFUATA KANUNI ZA UTOAJI WA ADHABU STAHIKI.
Amesema adhabu za kupitiliza zinawajengea watoto hali ya woga, zinaharibu uwezo wao wa kujieleza, na mara nyingine zinaweza kuwanyima msaada muhimu pale wanapokabiliwa na changamoto. ameendelea kwa kusisitiza umuhimu wa kutumia njia za mazungumzo na urafiki katika kumrekebisha mtoto badala ya kutumia fimbo mara kwa mara.
“Mfanye mtoto awe rafiki yako, awe huru kukueleza changamoto zake. Kumpiga fimbo kila mara si suluhisho la kumrekebisha zaidi ya kuingia kwenye MGOGORO na SHERIA ya Mtoto . Wazazi wanaoamini kuwa, kupiga watoto ni njia pekee ya kuwafundisha waache Imani na tabia hiyo, kwani si msaada kwa maendeleo ya mtoto. Malezi bora yanahitaji upendo, mazungumzo, na njia shirikishi za kufundisha maadili"
Kufuatia kufunguliwa kwa shule, waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu amekemea vikali tabia ya BAADHI ya Wazazi na BAADHI ya Walimu kupiga watoto kupita kiasi BILA KUFUATA KANUNI ZA UTOAJI WA ADHABU STAHIKI.
Amesema adhabu za kupitiliza zinawajengea watoto hali ya woga, zinaharibu uwezo wao wa kujieleza, na mara nyingine zinaweza kuwanyima msaada muhimu pale wanapokabiliwa na changamoto. ameendelea kwa kusisitiza umuhimu wa kutumia njia za mazungumzo na urafiki katika kumrekebisha mtoto badala ya kutumia fimbo mara kwa mara.
“Mfanye mtoto awe rafiki yako, awe huru kukueleza changamoto zake. Kumpiga fimbo kila mara si suluhisho la kumrekebisha zaidi ya kuingia kwenye MGOGORO na SHERIA ya Mtoto . Wazazi wanaoamini kuwa, kupiga watoto ni njia pekee ya kuwafundisha waache Imani na tabia hiyo, kwani si msaada kwa maendeleo ya mtoto. Malezi bora yanahitaji upendo, mazungumzo, na njia shirikishi za kufundisha maadili"
Kwamba kizazi chote hiki kilichopo sasa mpaka yeye hapo alipo ni muoga na hakufundishika ? Nadhani haya mengine awaachie wazazi wenyewe kwa utashi wao ila yeye na wenzake wahakikishe tunavyowalipa wanatatua matatizo ambayo yanatukumba sasa na mengine yatatukumba kesho kutokana na uzembe wa leo.. (Spare the Rod, Spoil the Child)
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Kwamba kizazi chote hiki kilichopo sasa mpaka yeye hapo alipo ni muoga na hakufundishika ? Nadhani haya mengine awaachie wazazi wenyewe kwa utashi wao ila yeye na wenzake wahakikishe tunavyowalipa wanatatua matatizo ambayo yanatukumba sasa na mengine yatatukumba kesho kutokana na uzembe wa leo.. (Spare the Rod, Spoil the Child)
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Naam na wapo manunda ambao bila kuwanyoosha hapakaliki.., Kwahio ni utashi wa mzazi mwenyewe anayemjua mtoto wake zaidi ya mimi na wewe...
There is more than one way to skin a cat..., na in this instance mzazi ndio yupo kwenye better position kuamua..., Lakini this other Cat.., (Hakuna shortcut inabidi Serikali hii kwa ujumla wao wawajibike na sio leo wala kesho ingebidi waanze tangia miaka mingi iliyopita)
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Naam na wapo manunda ambao bila kuwanyoosha hapakaliki.., Kwahio ni utashi wa mzazi mwenyewe anayemjua mtoto wake zaidi ya mimi na wewe...
There is more than one way to skin a cat..., na in this instance mzazi ndio yupo kwenye better position kuamua..., Lakini this other Cat.., (Hakuna shortcut inabidi Serikali hii kwa ujumla wao wawajibike na sio leo wala kesho ingebidi waanze tangia miaka mingi iliyopita)
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Nani kasema ufanye hivyo..., sio mtoto tu hata mtu wa kawaida haitakiwi kumfanyia unyama.., that said kuna mbinu nyingi za kumlea mtoto ambazo mzazi anazielewa kutokana na mtoto wake binafsi (huwezi kuweka Kanuni Moja kwa kila Mtu wakati watu wapo tofauti)
Upuuzi huu ndio wamefanya eti mwalimu kumpiga / kumkanya mwanafunzi as he / she see fit mpaka aombe kibali cha mwalimu mkuu au mwalimu mkuu pekee ndio anatoa adhabu ya fimbo.., matokeo yake hawa walezi (ambao ni waalimu) wameamua kuachana nao hao watoto...
Nani kasema ufanye hivyo..., sio mtoto tu hata mtu wa kawaida haitakiwi kumfanyia unyama.., that said kuna mbinu nyingi za kumlea mtoto ambazo mzazi anazielewa kutokana na mtoto wake binafsi (huwezi kuweka Kanuni Moja kwa kila Mtu wakati watu wapo tofauti)
Upuuzi huu ndio wamefanya eti mwalimu kumpiga / kumkanya mwanafunzi as he / she see fit mpaka aombe kibali cha mwalimu mkuu au mwalimu mkuu pekee ndio anatoa adhabu ya fimbo.., matokeo yake hawa walezi (ambao ni waalimu) wameamua kuachana nao hao watoto...
There is always an exception to the rule.., ndio maana nikasema hizi blanket theories / matamshi yanakuwa ni ya kisiasa na yanaweza kuchukuliwa ndivyo sivyo wala hayawezi kufanya kazi. Mzazi ambaye yupo na mtoto masaa yote, yupo katika better position kufanya maamuzi as anamjua mwanae vema...,
Mbili waliosema pia kwamba; “It Takes a Village to Raise a Child.”; Hawakukosea hata jamii inayozunguka sehemu fulani inaweza kuona kwamba fulani ni nunda au fulani anavyotendewa na mzazi wake leaves a lot to be desired..., (vilevile jamii hio ikiamua kufanya persecution kwamba toto fulani jinga, tukutu au toto la mlevi inaweza ikamuathiri negatively) kwahio kutokana na kwamba ni kijiji ndio kinaweza / inabidi kiweze kulea mtoto kwa busara haiondoi kwamba mzazi ndio dereva.., bila kusahau walezi wote wanaokaa na mtoto huyo kwa nyakati tofauti...
Bila kusahau maneno yanaumiza kuliko hata hizo bakora (maumivu yanaweza yakabakia maisha) hivyo huenda tunaondoa bakora za muda mfupi na kuzibadilisha na bakora zenye majeraha ya maisha.... All in all kumpangia mzazi malezi wakati kuna aina tofauti za malezi (unless anavuka mipaka) Nadhani ni kuvuka Mipaka...
There is always an exception to the rule.., ndio maana nikasema hizi blanket theories / matamshi yanakuwa ni ya kisiasa na yanaweza kuchukuliwa ndivyo sivyo wala hayawezi kufanya kazi. Mzazi ambaye yupo na mtoto masaa yote, yupo katika better position kufanya maamuzi as anamjua mwanae vema...,
Mbili waliosema pia kwamba; “It Takes a Village to Raise a Child.”; Hawakukosea hata jamii inayozunguka sehemu fulani inaweza kuona kwamba fulani ni nunda au fulani anavyotendewa na mzazi wake leaves a lot to be desired..., (vilevile jamii hio ikiamua kufanya persecution kwamba toto fulani jinga, tukutu au toto la mlevi inaweza ikamuathiri negatively) kwahio kutokana na kwamba ni kijiji ndio kinaweza / inabidi kiweze kulea mtoto kwa busara haiondoi kwamba mzazi ndio dereva.., bila kusahau walezi wote wanaokaa na mtoto huyo kwa nyakati tofauti...
Bila kusahau maneno yanaumiza kuliko hata hizo bakora (maumivu yanaweza yakabakia maisha) hivyo huenda tunaondoa bakora za muda mfupi na kuzibadilisha na bakora zenye majeraha ya maisha.... All in all kumpangia mzazi malezi wakati kuna aina tofauti za malezi (unless anavuka mipaka) Nadhani ni kuvuka Mipaka...