Hawezi kusema uongo ambao hata zombie atashituka.Mkuu hebu fafanua kauli nzito sna hii
Daaah aiseHawezi kusema uongo ambao hata zombie atashituka.
Yaani Kati ya Watanzania 10 wanaokufa na Corona 7 hawajachanjwa.
Kwa mahesabu ya darasa la pili waliochanjwa hawafiki 1.5m ya Watanzania 60m.
Maiti zingeokotwa barabarani maana wangekuwa wanakufa Watu wengi Sana.
Halafu wale waliochanjwa wanakufa kwa magonjwa nyemelezi siyo Corona.Daaah aise
Mama amejibu kitaalamu wewe unakuja na maneno ya korosho tu,Halafu wale waliochanjwa wanakufa kwa magonjwa nyemelezi siyo Corona.
Hata walitengeneza chanjo hawawezi kuukubali uongo huu.
Wala hagusii Omicron inayoua hata waliochomwa booster dose.
Mhuni huyu mama.
Gwajima anafanya kazi nzuri sana aiseWAZIRI DK DOROTHY GWAJIMA AZINDUA MPANGO WA JAMII HARAKISHI NA SHIRIKISHI WA CHANJO YA COVID -19 AWAMU YA PILI
===
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Kampeni Harakishi na Shirikishi kwa Jamii awamu ya pili na kusema, changamoto za uwepo wa UVIKO 19 ni changamoto kwa maendeleo ya dunia nzima ikiwemo na Tanzania.
Dkt. Gwajima, ameyasema hayo leo Desemba 22, 2021, mkoani Arusha, ambapo Hafla hiyo imefanyika na kuhudhuriwa na Viongozi wa Serikali, Dini pamoja na Jamii sambamba na Wananchi wa Arusha na Mikoa ya Jirani.
Akizindua Mpango huo, Dkt. Gwajima, amesema, katika kipindi cha kuanzia Mwezi Disemba, 2021 nchi yetu pia imeshuhudia kuendelea kuongezeka kwa maambukizi mapya ya UVIKO-19 kutoka maambukizi 14 kwa siku hadi 47 miongoni mwa wasafiri kwa takwimu za vipimo vya maabara kuu ya taifa.
"Mafanikio ya mapambano haya yanategemea zaidi jinsi gani Wakuu wa Mikoa na vyombo vyenu mmeendelea kujipanga kila siku, kwa kuboresha mikakati ya kuwafikia wananchi hadi ngazi ya mitaa, vijiji na vitongoji ili waelimike wajikinge na wapate huduma ya chanjo. Alisema Dkt. Gwajima.
Kampeni ya kaya kwa kaya ya kuwashirikisha viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji inadhamira ya kuona mikoa mingine inafanya na kupata mafanikio makubwa zaidi kama Mwanza, Kagera na Ruvuma ilivyofanikiwa.
Dkt. Gwajima ametumia fursa hiyo, kuwaomba, Viongozi wa Mikoa na Halmashauri wanakua bega kwa bega ili kufikia azma yakuchanja watu wapatao 4000 hadi 5000 kwa Mkoa na watu 80,000 hadi 100,000 kwa nchi nzima kila siku.
Akitoa taarifa wakati wa hafla hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi alisema, kwa sasa wameanza kufanya utafiti wa chanjo na wataendelea kutoa taarifa wapi tumefikia kwenye Chanjo hiyo, aidha "kwa sasa nchi ina mitambo ya kufua hewa ya Oksijeni kwenye hospitali zetu, hii itasaidia kuokoa maisha kwa wahitaji wa hewa kama watoto njiti na wagonjwa wengine mahututi" Prof.Makubi.
Akiongea kwa niaba ya Wakuu wa Mikoa, Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa, nchini ambaye pia ni Mkuu wa Arusha, John Mongella, alisema, wamejipanga kutekeleza maelekezo ya Serikali.
"Mhe Waziri, sisi ni Wasaidizi wa Mhe. Rais, hii ajenda ameibeba mwenyewe Rais, kwa kuanza kuchanja, na sisi wengine baada yakuona amechanja, Wakuu wa Mikoa wote tukachanja, hii ni kuonesha kuunga mkono mapambano haya" alisema Mongela.
Naye Prof. Riziki Shemdoe, Katibu Mkuu Tamisemi, akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ummy Mwalimu, alisema, Mpango Harakishi na Shirikishi ni Mpango unaosimamiwa na Wizara zote ndio maana katika Kampeni hiyo wanashirikiana pamoja hasa ikizingatiwa kuwa Wizara hiyo ndio iliyo karibu zaidi na Wananchi.
Akitoa Salaam za Kamati ya Bunge, Mwenyekiti, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mhe. Fatma Tofiq, amesema wanaihakikishia Serikali, kuwa bega kwa bega katika kusukuma ajenda ya Chanjo. Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii Mhe. Dkt. Stanslaus Nyongo amempongeza Wizara ya Afya kwa namna ilivyoweza kutekeleza Maekezo ya Serikali pamoja na yale ya Bunge
^Mhe. Waziri kwaniaba ya Kamati ya Bunge, niwapongeze sana kwa jinsi mnavyotekeleza Maelekezo ya Bunge, lakini pia ya Serikali, niahidi kwaniaba ya Kamati kuendelea kukupa Ushirikiano wakati wote na kuwashauri inavyopaswa" Alisema Mhe. Nyongo.
Katika Hafla.hiyo, Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima aliitaja Mikoa vinara kwa Chanjo yaani iliyofanya vizuri katika Chanjo mpaka sasa kuwa ni Ruvuma, Mwanza, Dodoma, Kagera na Mara. huku akiitaka Mikoa mingine kuongeza bidii
View attachment 2053776
View attachment 2053779
View attachment 2053780
View attachment 2053781
View attachment 2053783
Wabunge wenu ndio wasambaza maambukizi.Wabunge wetu wamepona kweli?
Wadau na Wakuu heshima yenu,
Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.
Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?
2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?
3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam
Atupe maelekezo tuliochanja J and J tunaweza kuchanjwa Moderna au Pfizer naona Israel wanachanja mpaka chanjo ya 4 wengine sio wafuasi wa tapeli Askofu GwajimaWAZIRI DK DOROTHY GWAJIMA AZINDUA MPANGO WA JAMII HARAKISHI NA SHIRIKISHI WA CHANJO YA COVID -19 AWAMU YA PILI
===
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Kampeni Harakishi na Shirikishi kwa Jamii awamu ya pili na kusema, changamoto za uwepo wa UVIKO 19 ni changamoto kwa maendeleo ya dunia nzima ikiwemo na Tanzania.
Dkt. Gwajima, ameyasema hayo leo Desemba 22, 2021, mkoani Arusha, ambapo Hafla hiyo imefanyika na kuhudhuriwa na Viongozi wa Serikali, Dini pamoja na Jamii sambamba na Wananchi wa Arusha na Mikoa ya Jirani.
Akizindua Mpango huo, Dkt. Gwajima, amesema, katika kipindi cha kuanzia Mwezi Disemba, 2021 nchi yetu pia imeshuhudia kuendelea kuongezeka kwa maambukizi mapya ya UVIKO-19 kutoka maambukizi 14 kwa siku hadi 47 miongoni mwa wasafiri kwa takwimu za vipimo vya maabara kuu ya taifa.
"Mafanikio ya mapambano haya yanategemea zaidi jinsi gani Wakuu wa Mikoa na vyombo vyenu mmeendelea kujipanga kila siku, kwa kuboresha mikakati ya kuwafikia wananchi hadi ngazi ya mitaa, vijiji na vitongoji ili waelimike wajikinge na wapate huduma ya chanjo. Alisema Dkt. Gwajima.
Kampeni ya kaya kwa kaya ya kuwashirikisha viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji inadhamira ya kuona mikoa mingine inafanya na kupata mafanikio makubwa zaidi kama Mwanza, Kagera na Ruvuma ilivyofanikiwa.
Dkt. Gwajima ametumia fursa hiyo, kuwaomba, Viongozi wa Mikoa na Halmashauri wanakua bega kwa bega ili kufikia azma yakuchanja watu wapatao 4000 hadi 5000 kwa Mkoa na watu 80,000 hadi 100,000 kwa nchi nzima kila siku.
Akitoa taarifa wakati wa hafla hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi alisema, kwa sasa wameanza kufanya utafiti wa chanjo na wataendelea kutoa taarifa wapi tumefikia kwenye Chanjo hiyo, aidha "kwa sasa nchi ina mitambo ya kufua hewa ya Oksijeni kwenye hospitali zetu, hii itasaidia kuokoa maisha kwa wahitaji wa hewa kama watoto njiti na wagonjwa wengine mahututi" Prof.Makubi.
Akiongea kwa niaba ya Wakuu wa Mikoa, Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa, nchini ambaye pia ni Mkuu wa Arusha, John Mongella, alisema, wamejipanga kutekeleza maelekezo ya Serikali.
"Mhe Waziri, sisi ni Wasaidizi wa Mhe. Rais, hii ajenda ameibeba mwenyewe Rais, kwa kuanza kuchanja, na sisi wengine baada yakuona amechanja, Wakuu wa Mikoa wote tukachanja, hii ni kuonesha kuunga mkono mapambano haya" alisema Mongela.
Naye Prof. Riziki Shemdoe, Katibu Mkuu Tamisemi, akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ummy Mwalimu, alisema, Mpango Harakishi na Shirikishi ni Mpango unaosimamiwa na Wizara zote ndio maana katika Kampeni hiyo wanashirikiana pamoja hasa ikizingatiwa kuwa Wizara hiyo ndio iliyo karibu zaidi na Wananchi.
Akitoa Salaam za Kamati ya Bunge, Mwenyekiti, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mhe. Fatma Tofiq, amesema wanaihakikishia Serikali, kuwa bega kwa bega katika kusukuma ajenda ya Chanjo. Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii Mhe. Dkt. Stanslaus Nyongo amempongeza Wizara ya Afya kwa namna ilivyoweza kutekeleza Maekezo ya Serikali pamoja na yale ya Bunge
^Mhe. Waziri kwaniaba ya Kamati ya Bunge, niwapongeze sana kwa jinsi mnavyotekeleza Maelekezo ya Bunge, lakini pia ya Serikali, niahidi kwaniaba ya Kamati kuendelea kukupa Ushirikiano wakati wote na kuwashauri inavyopaswa" Alisema Mhe. Nyongo.
Katika Hafla.hiyo, Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima aliitaja Mikoa vinara kwa Chanjo yaani iliyofanya vizuri katika Chanjo mpaka sasa kuwa ni Ruvuma, Mwanza, Dodoma, Kagera na Mara. huku akiitaka Mikoa mingine kuongeza bidii
View attachment 2053776
View attachment 2053779
View attachment 2053780
View attachment 2053781
View attachment 2053783
Tuko pamoja mkuu wangu,Mkuu heshima yako,
Asante kwa Ushauri huu mkuu,
Nimecheka kwa sauti khaaaa,Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kinachotembea.
View attachment 2054190View attachment 2054193View attachment 2054194
Mkuu Waziri alisema kati ya WAGONJWA kumi waliolazwa, saba hawajachanjwa.Hawezi kusema uongo ambao hata zombie atashituka.
Yaani Kati ya Watanzania 10 wanaokufa na Corona 7 hawajachanjwa.
Kwa mahesabu ya darasa la pili waliochanjwa hawafiki 1.5m ya Watanzania 60m.
Maiti zingeokotwa barabarani maana wangekuwa wanakufa Watu wengi Sana.
Japo siyo mtaalam wa afya ila ninajitahidi kusoma na kuuelewa huu ugonjwa. Ngoja nikushirikishe nilichoelewa:Wadau na Wakuu heshima yenu,
Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.
Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili au ya Tatu au hii Omicroni?
2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?
3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam
Nilimsikiliza alisema wanaokufa siyo waliolazwa,Mkuu Waziri alisema kati ya WAGONJWA kumi waliolazwa, saba hawajachanjwa.
Nimecheki kwenye ukurasa wa Wizara ya afya huko Twitter, naona waziri aliteleza labda...Nilimsikiliza alisema wanaokufa siyo waliolazwa,
Ni muongo kupindukia huyu mama.
Huyu WM huwa na kauli za utata sana ambazo zinampunguzia credibility yake.Waziri mkubwa kabisa ameshasema hakuna eimbi la nne, tuchape kazi!