Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #21
Tulia we dogoMabavu aliyotumia waziri ni yapi? kusema Gwajima askofu athibitishe tuhuma dhidi ya Rais kula hongo?
Nimemsikia waziri akizungumza mambo kisayansi mara nyingi tu, ndio maana anamtaka Gwajima asie mwanasayansi athibitishe madai yake.
Habari ya nyungu kwa sasa ilishapita, kama mamlaka ya uteuzi iliamua kuwaacha mawaziri wa mwendazake sioni sababu kumpigia kelele huyo mama.
Hata Gwajima msanii nae alituambia Corona haitaingia Tanzania, but leo anaruka ruka hataki kuchanjwa, hayo maombi yake kama hayakuizuia Corona kuingia Tanzania, kwanini leo aaminiwe yatawakinga watu wasipate Corona?
Waziri Gwajima aonya wanaopotosha kauli zake
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amewaonya baadhi ya Waandishi wa habari wasio rasmi hasa wa mitandao ya kijamii wanaopotosha sanaa ya maneno...